Tutambue idadi ya makamanda humu JF

Tutambue idadi ya makamanda humu JF

Tuachane na hayo,Cdm ni nuru ya watanzania,na ktk nuru Giza i.e ccm halina nafasi.Tulianza na Mungu,tunaendelea na Mungu na tutamaliza na Mungu,wao wanawaza ni vipi watamfufua sheikh Yahaya ili awa........(nimeanza kuhisi kidhungudhungu)

pamoja sana mkuu usijali
 
Pawaaaaa!!

afu mkimaiza hapa mhamie kule Chit Chat mumchague shansarie kuwa miss chit chat 2013..

msisahau makamanda!!!

pawaaaaaaaa...
 
Last edited by a moderator:
Wauwaji kwa tindikali

magamba tuliwanzishia thread yenu iliyobeba kichwa cha habari"Naomba tuwatambue vichaa wa Lumumba" sasa kwa bahati mbaya au nzuri thread iliondolewa,ilikufaa kucomment huko hii ni special kwa makamanda
 
Yaani wewe unakuja kujidai hapa paawaaaa, kumbe lengo lako umpigie debe huyo shansarie ​eti!!!, tumekushtukia.
Pawaaaaa!!

afu mkimaiza hapa mhamie kule Chit Chat mumchague shansarie kuwa miss chit chat 2013..

msisahau makamanda!!!

pawaaaaaaaa...
 
Kama watu ni wafamilia moja,taasisi moja na itikadi zinazofanana,zipo njia za kutambuana.Moja,kwa njia ya mavazi,pili kwa njia ya mazungumzo yaani lafudhi nk.Lakini kwa humu ndani,hatuwezi kutambuana kwa mavazi wala mazungumzo,kwa hiyo naomba makamanda titambuane humu JF.Kama wewe ni kamanda na unaikubali CHADEMA...naanza na kauli mbiu yetu"peoplesssss" comment by typing Poweeeer! Lumumba Fc a.k.a Magamba hawana nafasi,watawachafua makamanda hatutaki kuchanganyikana na machizi ya Lumumba.Hayo tu makamanda

Wote humu ndani CCM. Mengine ni mapito
 
....

.....Poweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeer

Le Kamanda Earthmover Arusha -Mwanza
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom