Tutambue idadi ya makamanda humu JF

Tutambue idadi ya makamanda humu JF

maccm mataira wamefuata nn makamanda hawa jamaa wamevurugwa maccm wote wana za kuku people power daima
 
Nilianzisha thread yenye kichwa kisemacho" naomba tuwatambue vichaa wa Lumumba" kwa bahati mbaya au nzuri imeondolewa,sasa najiuliza,je,Lumumba kuna vichaa? Na kama kuna vichaa,je ni Lumumba makao makuu ya ccm au Lumumba kama mtaa? Na kama ni makao makuu ya ccm basi vijana wa ccm ni vchaa? Kwa maana sijataja ccm kwenye hiyo thread au waarabu wa pemba wajuana kwa vilemba?
 
watu bwana !!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
ngoja tuone na walumbumba umesemaje
 
mimi niko DP

sasa kimekuleta nini huku kama sio umbeya,kwa nini mnakuwa wagumu wa kuelewa? Hapa wanahitajika makamanda,basi ungetype poweer hata kinafiki basi sio kutuletea DP sijui ndio kitu gani,chama hakina hata mbunge mmoja na wewe unajiita mwanachama? Aacheni kujiaibisha
 
..Naona vijana wa CHADEMA mmeshindwa kuukomboa wakati...!

Umbeya ndio umekuleta huku,umeletwa nini au kama hauhusiki kuna umuhimu gani wa kucoment? Akili au matope? Tatizo lenu huwa hamuelewi sijui nani kawaroga?
 
Humu ndani kama sio kamanda haina haja ya kucomment,sasa majitu mengine sijui hayaelewi kama unaona vipi siuanzishe thread ya CUF,CCM,TLP,DP,Chaumma,CCK nk ili uwe huru,wanaccm,wanaTLP,WanaCUF NK WATACOMMENT KWENYE THREAD ZAO
 
mimi niko DP

sasa kimekuleta nini huku kama sio umbeya,kwa nini mnakuwa wagumu wa kuelewa? Hapa wanahitajika makamanda,basi ungetype poweer hata kinafiki basi sio kutuletea DP sijui ndio kitu gani,chama hakina hata mbunge mmoja na wewe unajiita mwanachama? Aacheni kujiaibisha


aaaah??!!!! Mkuu. si ndio mshikamano wenyewe wa nyama huo. em kwanza mcheki huyo mwanaDP mwenyewe alivyo. si analipa kabisa uyo?

mimi nipo nld:

moto moto motoooooooo...........
 
Back
Top Bottom