DEMBA jamani kuna wakaka wanaimbayaah ni kweli analeta ushindani kwa kweli
yupi huyo aliyezodolewa na jaji Ian?
huyo huyo.......ila Kabutha ka kmtetea
Dah.... Huyu anayeimba kavaa kofia na miwani nimemkubali!!!
ni wa kenya yule
ok......
jamani hata wa dada huyu fiona kajitahidi kwa kweli
manka hawa washomile hela ni ya kwao subiri sasa kuna dada mwingine mweusi tii kama mkaa na wale vijana wanaoimba wawili utashangaa mwenyewejameni tuache utani waganda wanaimba mweeh
Haya tumsubiri Hisia wa bongo sijui kama atatuondolea aibu
halafu hapo ukumbini wanaonekana wamejaa wadada tu. kazi yao ni kushangalia wakaka tu.
manka hawa washomile hela ni ya kwao subiri sasa kuna dada mwingine mweusi tii kama mkaa na wale vijana wanaoimba wawili utashangaa mwenyewe
Haya tumsubiri Hisia wa bongo sijui kama atatuondolea aibu
wdada utatuweza kwa mbwe,mwe...inakuwaje wle wanaimba wawili wawili..wale wakaka