Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
mwallu mi naona kama Hisia anajitahidi sijui atafika mbali?watanzania tuna kazi
sidhani kama tutaingia iyo top 5
vocally hatuko vizuri kabisa
wenye vipaji vyenu muwe mnaenda basi kwenye audition sio kuimbia bafuni tu na vyumbani lo
nashindwa kusapoti vya nyumbani maana waganda wanaimba hawa duuu
Last edited by a moderator: