Tusker Project Fame 6

Tusker Project Fame 6

Uganda seriously they sing na wakenya kiac.. Bongo mhh
 
Jmn ukitune back to Bongo starsearch tunatia huruma kwa mtindoo huu aisee tutasikilizia wenzetu wakichukua ushind in tusker siku hadi siku
 
Jmn ukitune back to Bongo starsearch tunatia huruma kwa mtindoo huu aisee tutasikilizia wenzetu wakichukua ushind in tusker siku hadi siku

Yani ..
 
uwiiiii wa Tz wawili out.......mi sijui tunawezaga nini jamani!!!!!
 
Duh... meichelewa hii!!!

Preta nipe mwongozo tafwazali.....
 
Last edited by a moderator:
UPDATE:Show ndo imeanza tena rasmi usiku wa leo. Tunategemea washiriki kadhaa wataingia kwenye academy na wengine kubeba virago.
Join me watching and observing .
Inaoneshwa Citizen Tv na Channel 5

Wasalaam.
Rejeeni kichwa cha habari hapo juu.
Binafsi nimeangalia leo hicho kipindi. Ni burudani kwa kweli. Kuna vipaji vya hali ya juu kutoka nchi zote shiriki save for Southern Sudan ambao wamebakia na mshiriki mmoja tu so far katika top 25.
And for the first time nadhani Tanzania tumepeleka vipaji hasa.

Na safari hii former BSS contestants including Nkwabi wote wamepgwa chini.

Nimeona ishu ya upendeleo wa wazi kwa wakenya.Walikua 7-tofauti na nchi nyingine zote,na wamepita 6 kati ya hao including a duo. Tanzania walikua watano na wameenda wanne kwenye top 25. Ikumbukwe kuwa bado hawajaingia kwenye academy mpaka next week na kuna mchujo mwingine prior to that.

Baada ya hapo nikarudi kuangalia EBSS. Ninaandika ujumbe huu nikiwa hospitali kitandani nikitibiwa kutokana na heart attack nlopata baada ya kutazama show yao. I am considering law suit for mental and physical injury as a result.

Hivi mnadhani hawa BSS wana nia hasa ya kutafuta vipaji?Hivi unaweza kulinganisha na washiriki hata wasiosail through TPF6?
Hivi dude ulifikiria nini kuandika kuwa Watanzania safari hii tumepeleka vipaji halisi? haukufuatilia usaili wa nchi nyingine? Nadhani kama uliangalia BSS ukapata Heart attack sijui hawa chaguo lako la kwanza kwa TPF 6 wanavyokuwa wakwanza kumwagwa chini sijui utapatwa na nini na tatizo lolote utakalo lipata hutakuwa na remed yoyote kisheria au ki equit. Itakuwa ni DAMNUM ABSQUE INJURIA AU VOLENT NON FIT IJURIA . POLE SANA KWA TANA NA JUBAT THEY ARE OUT OTHER TWO WILL FOLLOW NEXT TIME
 
Hivi dude ulifikiria nini kuandika kuwa Watanzania safari hii tumepeleka vipaji halisi? haukufuatilia usaili wa nchi nyingine? Nadhani kama uliangalia BSS ukapata Heart attack sijui hawa chaguo lako la kwanza kwa TPF 6 wanavyokuwa wakwanza kumwagwa chini sijui utapatwa na nini na tatizo lolote utakalo lipata hutakuwa na remed yoyote kisheria au ki equit. Itakuwa ni DAMNUM ABSQUE INJURIA AU VOLENT NON FIT IJURIA . POLE SANA KWA TANA NA JUBAT THEY ARE OUT OTHER TWO WILL FOLLOW NEXT TIME

okaoni learned friend that was way last week. It appears i had misdirected myself.
 
Last edited by a moderator:
uwiiiii wa Tz wawili out.......mi sijui tunawezaga nini jamani!!!!!

Dont push me 'cause i am close to the edge and i am trying not to lose my head! Hasira, annoyance, happiness index sifuri.
 
Hivi dude ulifikiria nini kuandika kuwa Watanzania safari hii tumepeleka vipaji halisi? haukufuatilia usaili wa nchi nyingine? Nadhani kama uliangalia BSS ukapata Heart attack sijui hawa chaguo lako la kwanza kwa TPF 6 wanavyokuwa wakwanza kumwagwa chini sijui utapatwa na nini na tatizo lolote utakalo lipata hutakuwa na remed yoyote kisheria au ki equit. Itakuwa ni DAMNUM ABSQUE INJURIA AU VOLENT NON FIT IJURIA . POLE SANA KWA TANA NA JUBAT THEY ARE OUT OTHER TWO WILL FOLLOW NEXT TIME

haha okaoni la kujitakia halina majuto! Res ipsa loquitor!
 
Last edited by a moderator:
Kweli msomi nadhani uli read upside down authority . Bora wangempeleka huyu mwakijambile wa BSS

Aisee Mwakijambile has never messed since day 1. Ila saivi kuna yule dada kaingia kwa kupga simu she's a serious contender and she's got the damn vocals duu ! okaoni
 
Last edited by a moderator:
Its was nice japo kundi la wadada hawajaimba vzr sana. Today it was group singing
 
watanzania tuna kazi
sidhani kama tutaingia iyo top 5
vocally hatuko vizuri kabisa
wenye vipaji vyenu muwe mnaenda basi kwenye audition sio kuimbia bafuni tu na vyumbani lo
nashindwa kusapoti vya nyumbani maana waganda wanaimba hawa duuu
 
Back
Top Bottom