Nilufer
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 9,760
- 14,005
Hisia bado hajaimba....huyu wa sasa wa wapi
hisia ndio huyo best
Hisia bado hajaimba....huyu wa sasa wa wapi
Hisia bado hajaimba....huyu wa sasa wa wapi
okaoni umemuona hisia? amefanya vizuri kwa kweli
Dah... Kaimba poa sana!!
shila sijui kwa nini mwaka huu hakuwapo.![]()
Wadau mie huyu.mdada hapa nilikuwa nampenda sana, alikuwa anatangaza vizuri kweli! Ila huyu wa mwaka huu mmmmh simfagilii hata kiduchu!!
naona wabongo wamepona kwenda probation hongera sana kwa angel na hisia ngoja nirudi bongo kumwangalia mwakijambile
hisia kajitahid..sorry funs wenzangu wa tusker i had a problem wit network huku niliko nimeshindwa kwenda na nyie sambamba
shila sijui kwa nini mwaka huu hakuwapo.
hisia kajitahid..sorry funs wenzangu wa tusker i had a problem wit network huku niliko nimeshindwa kwenda na nyie sambamba
its true huyo dada alikuwa anatangaza poa
its true huyo dada alikuwa anatangaza poa