RGforever
JF-Expert Member
- Apr 3, 2011
- 6,877
- 5,444
kwani kanisa linadai kadhi?
kweli waambie waislam wenzako...
kwani kanisa linadai kadhi?
mwongo mkubwa wewe. mi mkristo na mwalimu wangu wa project alikua muislam safi. Hadi leo namkumbuka kwa alivyonipenda. Alipataje ajira???? watu hamtaki kujishughulisha kushinda mnafundishana ujinga:A S-baby:
kweli waambie waislam wenzako...
2 kwenye 10000?
Jamani hivi waislamu mnataka nini? Mnasema Pinda ameingilia uteuzi wa kadhi. Halafu at the same time mnataka mahakama ya kadhi iendeshwe na serikali. Ni serikali gani itaendesha INSTITUTION halafu isiwe na mkono wake?
Twambieni waislamu mnachotaka?
Mimi ninafikiri kauli ya JK ilikuwa sahihi, mahakama ya kadhi iendeshwe na waislamu wenyewe. Na kama ni hivyo, the it was wrong kama Pinda aliingilia mchakato wa kumpata kadhi.
WAISLAMU mnaiponda CDM lakini ni wabunge tu wa CDM wenye GUTS za kumuhoji Pinda kwenye kipindi cha maswali na majibu alhamisi kama kweli aliingilia mchakato wa kumpata Kadhi. Tunaomba Mnyika and Co. mumuulize Pinda kuhusu tuhuma hizi.
Hawa wenzangu wamechezea maisha, halafu wanakuja kulalama humu. Mi nawashukuru sana ndugu zangu Wakristo kwa kutufikisha hapa, Walijenga shule siku nyingi na ndio maana tuliokuwa na maono tulizitumia vizuri na kusoma.
Sio Waislam wote mkuu. Ni wapuuzi wachache wanaodanganywa na Ponda kwa sababu ya ufinyu wa mawazo. Msinijumuishe huko.
kila mtu analalamika. waislam wanalalamika kwamba wakiristo wamewezeshwa lkn hawajali maslahi ya nchi. jee huu siutaifa?
Hahahahahaha! Kadhi mliitaka wenyewe sasa hivi mnaanza kumlaumu pinda yani nyie hamna shukrani kabisa mnapo elekea mtaanza kujilipua!
Live: viongozi wa kiislam wanadai Waziri Mkuu ndie aliechagua kadhi wao kwa shindikizo la CCM.
wanadai Inakuwaje Leo Mh Pinda awe anateua kadhi?
Ni sjeikh Kundecha mmoja ya wanajopo waliopewa Jukumu la Kuteua kadhi. Lkn ghafla Mh Pinda aliwataka baadhi ya Masheikh waondoshwe ktk Jopo hilo. Wanasema watapinga kwa nguvu zote
Issa Ponda na Masheikh wengine wanaanza kuzungumza.
104.4 LIVE
MY TAKE: HAPA WAFUASI WA CHADEMA WATAUNGANA NA CCM. LIKIJA SWALA MADAI YA WAISLAM WATZ. USER WA CHADEMA WANAANGLIA ZAIDI YA DINI ZAO KULIKO UTAIFA.
TUANZE MJADALA
waislam wapi hao? Mbona mimi silalamiki?
hivi Zitto na Mdee nao ni wakristo ?
umeona eeh.......utadhani ameteuliwa na mkristo . Tatizo hawana umoja hawa.
kwa hyo?
Waislam wapi hao? Mbona mimi Silalamiki?
kwani wakiristo mnao umoja? Si mlimtaka dk slaa awe rais?