Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
mdee ni muislam vile? Mbona hata hijab havai?

Kwa waislam siyo lazima avae hijab hata mtandio tuu unatosha, mbona mkuu wa wilaya ya Igunga alitambuliwa uislam wake kwa kuvaa mtandio tu?
 
Waislam sasa wameamka kuburuzwa basi,na washaijua kuwa ina malengo gani kwa waislam,kwanza bakwata imeundwa na nyerere unategemea nini hapo?tuna shukuru radio imani kwa kuwaamsha waislam,mungu irinde redio imani
 
UDINI UTAKUUWA WEWE!!!

Vipi ZITTO amefikaje Pale na kuwa Mbunge? Wakati ni Mwislam??

Na TULIWACHAGUAJE HAWA WAKATI NI WAISLAM?......


  1. Chama tawala Tanzania ni CCM na mwenyekiti wake ni Muislaam,
  2. Tanzania tunao Raisi wawili na wote ni Waislaam.
  3. Anayeunda serikali na kuiongoza ni Muislaam
  4. Anayewateua watendaji wakuu pamoja na Waziri Mkuu ni Muislaam.
  5. Tanzania tunao Makamu wa Raisi watatu na wote ni Waislaam.
  6. Jemadari Mkuu wa majeshi Tanzania ni Muislaam.
  7. Mkuu wa polisi Tanzania ni Muislaam.
  8. Mkuu wa Usalama wa Taifa ni Muislaam.
  9. Mkuu wa Mahakama Tanzania ni Muislaam.
  10. Ardhi yote ya Tanzania ni mali ya serikali inayoongozwa na Muislaam.

HATUANGALII DINI MKUU,TUNAANGALIA KICHWANI UNA NINI

Mtu anayelalamikiwa sana kwa nchi kuporomoka kiuchumi ni Muislam
 
Waislam sasa wameamka kuburuzwa basi,na washaijua kuwa ina malengo gani kwa waislam,kwanza bakwata imeundwa na nyerere unategemea nini hapo?tuna shukuru radio imani kwa kuwaamsha waislam,mungu irinde redio imani

JE MMEFANIKIWA WAPI???

¤Mahakama ya KADHI mlitaka isimamiwe na SERIKALI.. Mmejibiwa hivi

KIKWETE- Mahakama ya kadhi itasimamiwa na waislam wenyewe bila serikali na haitajihusisha na kesi za jinai

¤Mlitaka Kipengele cha Dini kiwekwe. MKAJIBIWA HIVI

Sheikh MUFTI- Kipengele cha Dini hakitawekwa maana hakina manufaa katika kuleta maendeleo ya Taifa,ni vikundi vidogo vidogo vinavyotaka kuchafua Uislam kwa faida zao Wenyewe. Waislam wote watahesabiwa

¤Mlitaka Muungano Uvunjike. Mkajibiwa hivi

Dr-SHEIN- Muungano hautavunjika nitautetea na Wakiwaita kwenye maandamano Msiende

SHAMSI VUAI NAHODHA- Muungano hutovunjika na ninaupenda sana
 
Mimi si Muislamu,
Lakini nina wajomba ambao ni waislamu,
Swala 5.

Ukiondoa BAKWATA,
Ni jumuia ipi ya Waislaamu iliyoundwa bila kuingiliwa na serikali,
Jumuia ambayo inaongea kwa niaba ya Suni na Shia bila matatizo,
jumuia ambayo kila muislamu,Inshallah, anapenda iwe badla ya BAKWATA??

Au kama haipo bado ni lini inatarajiwa kuundwa?

Waislam sasa wameamka kuburuzwa basi,na washaijua kuwa ina malengo gani kwa waislam,kwanza bakwata imeundwa na nyerere unategemea nini hapo?tuna shukuru radio imani kwa kuwaamsha waislam,mungu irinde redio imani
 
Nchi haina uongozi, mambo kama hayahayakuoaswa kutokea...
Hizi dini tumeletewa afu bado tunajidai mafundi kuliko waliotuletea... Kwel tumeuzwa, hatuna chetu,,,..
Tuzidi kuliombea taifa kwa Mungu tunayemwamin...
 
mtu anayelalamikiwa sana kwa nchi kuporomoka kiuchumi ni muislam

my take: Hapa wafuasi wa chadema wataungana na ccm. Likija swala madai ya waislam watz. User wa chadema wanaanglia zaidi ya dini zao kuliko utaifa.

Tuanze mjadala
 
mbona mi nimemuana shehe mkuu ndio anamtangaza kadhi mkuu na sio pinda?
 
Peleka mtoto shulee apate elimu eeh atafaidika aah kwa maisha yake ee (rudia mara nyingi)
 
Kwa waislam siyo lazima avae hijab hata mtandio tuu unatosha, mbona mkuu wa wilaya ya Igunga alitambuliwa uislam wake kwa kuvaa mtandio tu?

Mvaa Tai. Taratibu wakikusikia BAKWATA na SERIKALI utaishia MabwePande. BAKWATA hadi kesi iliyopo mahakamani wanasema hivi DC Kimario alivuliwa HIJAAB vazi ambalo ni staha kwa waislamu hivyo CDM wameudhalilisha Uislamu.

Leo unataka "KUPOTOSHA" kwamba DC Kimario alikuwa amevaa MTANDIO?
 
Licha ya pilau, alifikiri ndiye mzuri zaidi ya wote kwa hiyo angefaa yeye tu!!

WALIMTAKA PONDA NDO AWE MKUU WA KADHI... Nakupa Siku Wataandamana hawa kumkataa huyo. Take my WORDS
 
watakufa masikini kwa kuendekeza udini hawa. Hawana umoja kazi kulalamika

hahah. Kulalamika ndio asili ya watz. Mbona waislam wazanzibar hawalalamiki? Bunge linalalamika. Chadema wanalalmika. Madaktari wanalamika. Walimu wanalalmika? Hii ndio tz. Hata wakiristo wanalalmika?
 
Nimesikiliza Radio Imani juu ya misimamo ya viongozi wa dini za kiislamu wanavyochochea umwagaji damu nchini...Na wakitanabaisha kuwataka waislamu watambue kuwa viongozi wa Bakwata..kuwa siyo viongozi wawaislamu nchini na siyo wawakilishi wawaislamu na wasiwakubali!!na wawe tayari kutetea uislamu wasiogope....Nakuwaita viongozi ambao siyo waislamu kuwa ni makafri..kweli tumefikia hapo?
Nazaidi kwa kudai sensa inaratibiwa na viongozi wa kikiristo eti wanataka wajue misikiti ni mingapi nchini kwakusema ndo maana hawataki kuhesabiwa!
Hawakuishia hapo wameingiza swala la muungano kuwa wao wanahitaji muungano uvunjike zanzibar iwe na mamlaka kamili.
 
Unachopendekeza (kwa kadiri ya kichwa cha habari) ni kwamba uamsho wajidhibiti wenyewe, siyo? Unachekesha!
 
Wewe sema kweli na usipotoshe! Ni nani alisema damu imwagike? Alinukuu maneno ya maaskof waliposema waislam wakipewa mahakama ya kadhi tutamwaga damu.Sasa kati ya maaskof na waislam nani anahatarisha amani? Kakakiiza acha uongo! Kinachozungumzwa radio iman ni ukweli mtupu wenye ushahidi wa wazi na ndio maana serikali haijaifungia kwasababu hakuna hoja ya kusimamia ya kuifungia. Unajua unaposema kweli inakuwa ngumu kuzuliwa mambo! Na kwakuwa radio iman wanajua chuki mlizonazo ninyi hivyo wanachukua tahadhari kubwa sana ili endapo radio itafungiwa mahakamani ushahidi upo wa kutosha kuitetea radio na kushinda kesi. Wakristo mnapika majungu dhidi ya waislam na hamtaki kuona waislam wanaishi kwa amani.
 
Kuusimamia uislam ndio kuchochea umwagaji damu? Kwani wewe na viongozi wako wasio waislam kuitwa makafir kuna tatizo gani? Unapoleta habari hapa, hakikisha kwanza umeichambua kwa kina
 
Dah, me pia nliwaskia mkuu. Tumuombe Mungu atusaidie atuepushe na mabalaa yao.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom