Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
wananchi wepi? Kama wakiristo haya. Kama waislam sijaona faida ya chadema. Wao naona wamewekeza zaidi makanisani

KIKWETE- Mahakama ya kadhi itasimamiwa na waislam wenyewe bila serikali na haitajihusisha na kesi za jinai

MUFTI- Kipengele cha Dini hakitawekwa maana hakina manufaa katika kuleta maendeleo ya Taifa,ni vikundi vidogo vidogo vinavyotaka kuchafua Uislam kwa faida zao Wenyewe

MATAMKO HAYO...... Ni bora MKAKAA KIMYA NA KUMSISITIZA MTOTO WAKO AENDE SHULE AJE AKUSAIDIE BAADAYE

MAANA


WAKRISTO NA WAISLAM WANAAJIRIWA KWA VYETI VYAO SI DINI YAO
 
KIKWETE- Mahakama ya kadhi itasimamiwa na waislam wenyewe bila serikali na haitajihusisha na kesi za jinai

MUFTI- Kipengele cha Dini hakitawekwa maana hakina manufaa katika kuleta maendeleo ya Taifa,ni vikundi vidogo vidogo vinavyotaka kuchafua Uislam kwa faida zao Wenyewe

MATAMKO HAYO...... Ni bora MKAKAA KIMYA NA KUMSISITIZA MTOTO WAKO AENDE SHULE AJE AKUSAIDIE BAADAYE

MAANA


WAKRISTO NA WAISLAM WANAAJIRIWA KWA VYETI VYAO SI DINI YAO

vyeti vipi? kama + naamini
 
BAKWATA ipo ICU karibuni itazikwa.

Redio Imaan live sheikh Muhammad Issa
 
kweli? Mbona tuhangaika kujua tatizola umaskini tz: Wewe kama mkiristo umeshindwa kufanyab research? Sasa umesoma nini?

HAWA NI WAKRISTO????


  1. Chama tawala Tanzania ni CCM na mwenyekiti wake ni Muislaam,
  2. Tanzania tunao Raisi wawili na wote ni Waislaam.
  3. Anayeunda serikali na kuiongoza ni Muislaam
  4. Anayewateua watendaji wakuu pamoja na Waziri Mkuu ni Muislaam.
  5. Tanzania tunao Makamu wa Raisi watatu na wote ni Waislaam.
  6. Jemadari Mkuu wa majeshi Tanzania ni Muislaam.
  7. Mkuu wa polisi Tanzania ni Muislaam.
  8. Mkuu wa Usalama wa Taifa ni Muislaam.
  9. Mkuu wa Mahakama Tanzania ni Muislaam.
  10. Ardhi yote ya Tanzania ni mali ya serikali inayoongozwa na Muislaam.
 
hayo yako. Sisi wasomi wa kiislam tunakujueni fika. Ajira kama sio mkirsto hupati


mwongo mkubwa wewe. mi mkristo na mwalimu wangu wa project alikua muislam safi. Hadi leo namkumbuka kwa alivyonipenda. Alipataje ajira???? watu hamtaki kujishughulisha kushinda mnafundishana ujinga:A S-baby:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom