Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Mnategemea nini redio watangazaji na mameneja darasa la saba na bado wataanza kuporomosha mitusi tena ya nguoni soon
 
Tujikomboe kutoka katika utumwa wa kiakili, hakuwa wa kutukomboa ili ni sisi wenyewe, hakuna mtu kutoka ughaibuni atakayeleta neema hapa nchini, ila ni kwa kufanya kazi kwa juhudi na maarifa peke yake. Tuelimishe jamii yetu, tujifunze kutoka kwa wenzetu na kuiga yaliyo bora kwetu. Somo la kwanza waislam igeni toka kwa wakristo namna wanavyofanikisha utoaji elimu na huduma za afya. Milipewa chuo kikuu na Mkapa (Mkristo) ili mjikomboe kielimu, wakati mkisuasua kuomba misaada na kubaki kulaumu na kutengeneza uadui na wakristo, nendeni basi mkajifunze kwa wamoreviani, kanisa lenye waumini wachache lililoanzisha chuo kikuu takribani miaka 8 iliyopita jijini Mbeya, leo wana campus Tabora na D'salaam. Wanachangishana wanasonga mbele na jana walifanya tamasha la kwawa uwanja wa sokoine (Fund rising), ili kutafuta fedha za ujenzi wa bweni la wanawake. Waislamu wote wa Tanzania mkichangishana shilingi elfu tano kila mmoja mna uwezo wa kujenga chuo kikuu kikubwa kizuri.
 
mimi ni muislam lakini sikubaliani na yalnayosemwa na Waislam wenzangu JAMANI WAISLAM WENZANGU TUBADILIKE YUACHE UVIVU NA MAJUNGU
Tatizo ss tunajifanya kuwa na Msimamo usiokiwa na Faida jamani mm mbona ni muislam lkn nimesoma mpaka university na form four Div 1 form six DIv 2 university First class Mbona Sikufellishwa na Mtu tatizo letu wakati wakristu wanajenga Mashule na Mahospital ss tumelala Msikitikini Mchana kweupe
Ndugu zangu Majungu hayasaidii tubadilike

Angalia, mkuu Lukenza wenzako wasije wakatangaza 'fatwa' dhidi yako. Maana huwa hawapendi kuambiwa ukweli.
 
leo mufti wao amesema waislam wote washiriki kikamilifu kwenye sensa ya taifa...mashehe uchwara akina issa ponda wanasema waislam wasishiriki sensa ya taifa...yaani inahuzunisha sana jinsi ubwabwa unavyowapumbaza hawa wenzetu...ndiyo maana wengine tumefikia hatua ya kusema malalamiko/kelele zao ni kama machozi ya samaki kwenye bahari...
 
mmmmmhhhhh! kweli chuki za kidini ziko juu sana hapa nchini kwa sasa! wazee wetu waliishi vizuri lkn tabaja la vijana wa miaka ya 80s na kendela, wamekuwa wadini sana. ukisikiliza baadhi ya redio za kikristo, nazo huwa zinashambulia uislamu. hadi baadhi ya wachngaji wanatumia majina ya ustadh na sheikh kuukebehi uislamu. kama hujasikia huwezi kuelewa ninacho kisema. huo ndiyo ukweli. ka dsm waislamu wana redio za fm kama 2. redio iman ya morogoro ndiyo REDIO YA FM INAYOSIKIKA NCHINI KWA UWANDA MPANA KULIKO ZOTE. hii ni kwa mujibu wa tume ya mawasiliano. ukitembelea tovuti yao utaliona hili.


waislamu wanaona kama wanabaguliwa na vyombo vya habari. habari zao haziripotiwi au zinapotoshwa iwapo zitaripotiwa. wameamua kuelekeza nguvu kwenye redio iman ya morogoro ili kuitumia kama jukwaa lao la kujieleza. siyo siri inasikilizwa sana na waislamu pamoja na wasiokua waislamu wanaotaka kujua habari za uislamu.


vile chuki ni kubwa kati ya waislamu vijana na wakristo vijana, nashauri kwenye katiba yetu, tuweke kipengele cha uwiano wa dini katika ajira serikalini. nadhani jambo hili litarejesha umoja unaopotea
 
mmmmmhhhhh! kweli chuki za kidini ziko juu sana hapa nchini kwa sasa! wazee wetu waliishi vizuri lkn tabaja la vijana wa miaka ya 80s na kendela, wamekuwa wadini sana. ukisikiliza baadhi ya redio za kikristo, nazo huwa zinashambulia uislamu. hadi baadhi ya wachngaji wanatumia majina ya ustadh na sheikh kuukebehi uislamu. kama hujasikia huwezi kuelewa ninacho kisema. huo ndiyo ukweli. ka dsm waislamu wana redio za fm kama 2. redio iman ya morogoro ndiyo REDIO YA FM INAYOSIKIKA NCHINI KWA UWANDA MPANA KULIKO ZOTE. hii ni kwa mujibu wa tume ya mawasiliano. ukitembelea tovuti yao utaliona hili.


waislamu wanaona kama wanabaguliwa na vyombo vya habari. habari zao haziripotiwi au zinapotoshwa iwapo zitaripotiwa. wameamua kuelekeza nguvu kwenye redio iman ya morogoro ili kuitumia kama jukwaa lao la kujieleza. siyo siri inasikilizwa sana na waislamu pamoja na wasiokua waislamu wanaotaka kujua habari za uislamu.


vile chuki ni kubwa kati ya waislamu vijana na wakristo vijana, nashauri kwenye katiba yetu, tuweke kipengele cha uwiano wa dini katika ajira serikalini. nadhani jambo hili litarejesha umoja unaopotea
 
Serikali inasubiri kukamilika kwa hili bomu linalotengenezwa na Redio Imman, Likilipuka ndo utasikia uwepo wa Serikali Dhaifu ya CCM
 
Live: viongozi wa kiislam wanadai Waziri Mkuu ndie aliechagua kadhi wao kwa shindikizo la CCM.

wanadai Inakuwaje Leo Mh Pinda awe anateua kadhi?

Ni sjeikh Kundecha mmoja ya wanajopo waliopewa Jukumu la Kuteua kadhi. Lkn ghafla Mh Pinda aliwataka baadhi ya Masheikh waondoshwe ktk Jopo hilo. Wanasema watapinga kwa nguvu zote
Issa Ponda na Masheikh wengine wanaanza kuzungumza.


104.4 LIVE


MY TAKE: HAPA WAFUASI WA CHADEMA WATAUNGANA NA CCM. LIKIJA SWALA MADAI YA WAISLAM WATZ.UKITAKAKUJUA UDHAIFU WA CHADEMA NI HUU. USER WA CHADEMA WANAANGLIA ZAIDI YA DINI ZAO KULIKO UTAIFA.

TUANZE MJADALA
 
Kila kitu wanalalamika...........

Njaa za madaraka zitawauwa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom