Udini na Ubinafsi ndio unaotusumbua na dhambi hii mbaya itatutafuna na mwisho wake utakuwa mbaya kuliko tunavyoona sasa,badala ya kuongelea mambo ya msingi tunafikiria na kupoteza muda kuongelea mambo ambayo hayatujengi wala kutuletea maendeleo,sishangai kuona tunazidi kuwa masikini ilhali wenzetu wanazidi kuendelea kwani fikra zetu ni duni sana na tutabaki masikini milele.
Wanadai uhuru uliletwa na waislamu wakaamua kumzoa nyerere huko kijijini ili aje asimamie kwa vile alionekana amesomasoma baadae akawageuka.
kuna mdaharo unaendelea kwenye hii radio wao wanasema uhuru wa tz uliletwa na waislamu na si nyerere, wanadai haina maana ya kumbuka mwalimu wakati historia imepotoshwa, wanasema nyerere alijikita ktk kujenga makanisa na sio misikiti, wanauliza kwa ni kuna baba wa taifa hakuna mama wa taifa? Wanasema labda kwa vile ni mwislamu bibi titi mohamed. Mimi hii radio siielewi hembu wadau leteni maoni yenu hapa, kama una redio wasikilize mada inaendelea.
Wanadai uhuru uliletwa na waislamu wakaamua kumzoa nyerere huko kijijini ili aje asimamie kwa vile alionekana amesomasoma baadae akawageuka.
Je wewe uislamu na waislamu wanakupenda?i hate islamic religion,i hate muslims!
Asante kwa kutufungua machoNi kweli kabisa na mimi nawaunga mkono 100%
HISTORIA ya TANU ingelipotea kabisa kama siyo juhudi za makusudi za Profesa John Illife wa Cambridge aliyekuwa mwalimu wa historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika miaka ya katikati ya 1960.
Illife alipogundua tatizo lililokuwapo katika historia ya uhuru wa Tanganyika na hasa historia ya TANU na nafasi ya Julius Nyerere katika kuanzishwa kwake alifanya azma ya kuitafiti na kuiandika. John Illife aliwaagiza wanafunzi wake kutafiti na kuandika maisha ya wazalendo waliofanya mambo ya kutukuka katika sehemu zao. Zoezi hili lilipokamilika palipatikana historia za wazalendo wengi na kazi hii ikazaa kitabu Modern Tanzanians ambacho Iliffe alikihariri na yeye mwenyewe akiwa mmoja wa watu waliochangia uandishi akaandika maisha ya Martin Kayamba.
Kitabu hiki kina habari za maisha ya Watanganyika 12 ambao waliishi miaka ya mwanzo ya karne ya ishirini wakati wa utawala wa Wajerumani hadi kufika kwa Waingereza. Katika kitabu hiki kitu kimoja kinachojitokeza dhahiri ni kuwa wazalendo wote walioshiriki katika kutafuta Uhuru wa Tanganyika walikuwa Waislam. (Kleist Sykes, Ali Ponda na Hassan Suleiman) wao maisha yao yalijikita katika siasa za ukombozi wa Tanganyika kutoka ukoloni wa Waingereza wakati wenziwao Wakristo Canon Kolumba Msigala, Pastor Yohane Nyagava na Bishop Jeremiah Kissula) historia ya maisha yao ilikuwa katika nyanja za utumishi wa kanisa.
Hali hii imeendelea hadi ilipofika wakati wa kuasisiwa kwa TANU.
Katika ukweli huu ndipo palipo tatizo la wanahistoria kuiogopa historia ya kweli ya TANU kwa kuwa harakati zilichukua mkondo mkali wa Waislam kupinga ukoloni kwa dhati. Kwa ajili hii basi historia nzima ya kudai uhuru imejaa majina ya Waislam. Hili ni moja ya sababu inayofanya historia hii iwe nyeti, iogopewe na isitafitiwe na kuandikwa inavyopaswa.
NAOMBA UFATE HII LINK HAPA KWA MAELEZO ZAIDI: Wako wapi mashujaa wa Uhuru Tanganyika?
kwahiyo walileta waislamu?Ni kweli hao jamaa wa radio iman wanachosema ni kweli kabisa.
Nyerere akuleta uhuru Tanzania
We manywele hujui historia, uhuru ni wa Tanganyika na sio Tanzania. Kilaza mwenzenu ndio anawajaza ujinga kuwa kuna uhuru wa Tanzania. Wakristo hawakuhitaji sana uhuru kwa vile walikuwa wamewadhibiti wakoloni vilivyo, mfano ni majimaji songea na Mkwawa Iringa. Waislamu ndio waliochukuliwa sana kwenda utumwani kwa sababu ya uvivu wa kufikiri na kupenda ya bure.Ni kweli hao jamaa wa radio iman wanachosema ni kweli kabisa.
Nyerere akuleta uhuru Tanzania
Kwa iyo Mr.Green guard inabidi husiadhimishe sherehe ya kumbukumbu ya baba wa taifa bali anzisheni siku yenu maalumu ya kumuenzi mama wa taifa (Bibi Titi Mohamed) kama hao jamaa wa Radio Iman wanavyoshauri.Ni kweli hao jamaa wa radio iman wanachosema ni kweli kabisa.
Nyerere akuleta uhuru Tanzania
Hiyo redio ifungwe mara moja. Yakitokea yale ya Rwanda itabidi wenye redio wapelekwe ICC
Hawajakosea kabisa. Fatilia historia, utaujua ukweli wa mambo.
Shule ni kitu muhimu sana! narudia Shule ni muhimu mno! jitahidi umpeleke mtoto wako shule ili asipate shida maishani in the future.
Wanadai uhuru uliletwa na waislamu wakaamua kumzoa nyerere huko kijijini ili aje asimamie kwa vile alionekana amesomasoma baadae akawageuka.