Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Si wako wengi ingieni mitaani na maandamano kupinga kukumbukwa Mwalimu kama mnaweza .Wanafiki eti mama wa Taifa yuko wapi ni sehemu gani kwenye uislam wanako mthamini mwanamke hata kwenye ibada inawekwa nyuma now mnatka Bibi Titi siyo ?
 
Udini na Ubinafsi ndio unaotusumbua na dhambi hii mbaya itatutafuna na mwisho wake utakuwa mbaya kuliko tunavyoona sasa,badala ya kuongelea mambo ya msingi tunafikiria na kupoteza muda kuongelea mambo ambayo hayatujengi wala kutuletea maendeleo,sishangai kuona tunazidi kuwa masikini ilhali wenzetu wanazidi kuendelea kwani fikra zetu ni duni sana na tutabaki masikini milele.

Safi sana..
Lau wanaJF wote wangelikuwa kama wewe basi tungekuwa mbali sana...

Nimesisitiza "wanaJF" wote kwa kutambua kuwa JF ndo mwangaza wa mabadiliko na mfano wa kuigwa kote kwa wapenda maendeleo/mageuzi ya dhati..kwa manufaa ya nchi yetu/bara letu
 
Wanadai uhuru uliletwa na waislamu wakaamua kumzoa nyerere huko kijijini ili aje asimamie kwa vile alionekana amesomasoma baadae akawageuka.

kwanini hao walioleta uhuru hawakuweza kusimamia inaonyesha waislamu hawakuwa na uezo wowote na swala la wao kuleta uhuru mnashindwa kuelezea uizur ni kwamba waliudhuria kwenye kwenye kampeni za kudai uhuru na pia Nyerere aliwatumia kwenye maandamano akijua wanapenda sana.
 
kuna mdaharo unaendelea kwenye hii radio wao wanasema uhuru wa tz uliletwa na waislamu na si nyerere, wanadai haina maana ya kumbuka mwalimu wakati historia imepotoshwa, wanasema nyerere alijikita ktk kujenga makanisa na sio misikiti, wanauliza kwa ni kuna baba wa taifa hakuna mama wa taifa? Wanasema labda kwa vile ni mwislamu bibi titi mohamed. Mimi hii radio siielewi hembu wadau leteni maoni yenu hapa, kama una redio wasikilize mada inaendelea.


hili ndo tatizo la kukaa vijiweni na kuvaa magauni huku mkinywa kahawa isiyokuwa na sukari
mkiishiwa na umbea wa vijiweni mnabaki kufikiria kwa kutumia makalio baada ya akili kuchoka na umbea.
 
Jaman msiandike comments ndefu sana!mwisho wa cku zinabore kusoma!
 
Wanadai uhuru uliletwa na waislamu wakaamua kumzoa nyerere huko kijijini ili aje asimamie kwa vile alionekana amesomasoma baadae akawageuka.

kwanini hao walioleta uhuru hawakuweza kusimamia inaonyesha waislamu hawakuwa na uezo wowote na swala la wao kuleta uhuru mnashindwa kuelezea uizur ni kwamba waliudhuria kwenye kwenye kampeni za kudai uhuru na pia Nyerere aliwatumia kwenye maandamano akijua wanapenda sana.
 
Jamani wanajf mbona hivo,unajua ukianza kumkosoa mwenzako kumbuka ukubaliani na fikra zako,lakin ukijikubali hautakuwa na muda mchafu wa kujilinganisha na wa2,topik ni swala Baba wa taifa au redio aman?achen unafki na chuki mbona mnawaenzi ndugu zenu makaburini ili la nyerere ndo tatizo?
 
Ni kweli hao jamaa wa radio iman wanachosema ni kweli kabisa.
Nyerere akuleta uhuru Tanzania
 
Ni kweli kabisa na mimi nawaunga mkono 100%

HISTORIA ya TANU ingelipotea kabisa kama siyo juhudi za makusudi za Profesa John Illife wa Cambridge aliyekuwa mwalimu wa historia Chuo Kikuu cha Dar es Salaam katika miaka ya katikati ya 1960.


Illife alipogundua tatizo lililokuwapo katika historia ya uhuru wa Tanganyika na hasa historia ya TANU na nafasi ya Julius Nyerere katika kuanzishwa kwake alifanya azma ya kuitafiti na kuiandika. John Illife aliwaagiza wanafunzi wake kutafiti na kuandika maisha ya wazalendo waliofanya mambo ya kutukuka katika sehemu zao. Zoezi hili lilipokamilika palipatikana historia za wazalendo wengi na kazi hii ikazaa kitabu Modern Tanzanians ambacho Iliffe alikihariri na yeye mwenyewe akiwa mmoja wa watu waliochangia uandishi akaandika maisha ya Martin Kayamba.


Kitabu hiki kina habari za maisha ya Watanganyika 12 ambao waliishi miaka ya mwanzo ya karne ya ishirini wakati wa utawala wa Wajerumani hadi kufika kwa Waingereza. Katika kitabu hiki kitu kimoja kinachojitokeza dhahiri ni kuwa wazalendo wote walioshiriki katika kutafuta Uhuru wa Tanganyika walikuwa Waislam. (Kleist Sykes, Ali Ponda na Hassan Suleiman) wao maisha yao yalijikita katika siasa za ukombozi wa Tanganyika kutoka ukoloni wa Waingereza wakati wenziwao Wakristo Canon Kolumba Msigala, Pastor Yohane Nyagava na Bishop Jeremiah Kissula) historia ya maisha yao ilikuwa katika nyanja za utumishi wa kanisa.
Hali hii imeendelea hadi ilipofika wakati wa kuasisiwa kwa TANU.

Katika ukweli huu ndipo palipo tatizo la wanahistoria kuiogopa historia ya kweli ya TANU kwa kuwa harakati zilichukua mkondo mkali wa Waislam kupinga ukoloni kwa dhati. Kwa ajili hii basi historia nzima ya kudai uhuru imejaa majina ya Waislam. Hili ni moja ya sababu inayofanya historia hii iwe nyeti, iogopewe na isitafitiwe na kuandikwa inavyopaswa.

NAOMBA UFATE HII LINK HAPA KWA MAELEZO ZAIDI: Wako wapi mashujaa wa Uhuru Tanganyika?


Asante kwa kutufungua macho
 
Baba wa Taifa gani? TANGANYIKA,TANZANIA ama ZANZIBAR?

Mimi nawashanga nyie mnaojiita wazanzibar,dogshit ni nyie wenyewe,maana mnasema nyerere hajawasaidia nawashangaa sana,hamuoni ni kwa namna gani mnavyofaidika na Muungano,idadi kubwa ya vijana wa kizanzibar wapo bara wanatafuta maisha ukiringanisha na vijana wa bara waliopo zanzibar.
Mnabaki kulala mika tu,kwanza nyie ni :-
1.wavivu,hamfanyi kazi,wanafiki wakubwa,msio na fadhira,N.K,Naomba niishie hapo
Wazanzibar mwogopeni Mungu msiongee maneno ya kashfa zid ya baba wa taifa,laana haita waacha itawala
[/QUOTE]

hakuna lolote alilosaidia huku zanzibar zaidi ya ku2letea wakina John Okelo kuchinja wazanzibari wasiokuwa na hatia kwa kgezo cha rangi zao..
 
Wakati wa kupigania uhuru waislamu walitumika kama MGAMBO, yaani kutangulizwa mbele kwa kuwa ni waongeaji halafu watendaji wakafuata kwa nyuma kufanya kazi zenye tija kama kwenda UNO
 
Hiyo redio ifungwe mara moja. Yakitokea yale ya Rwanda itabidi wenye redio wapelekwe ICC
 
Ni kweli hao jamaa wa radio iman wanachosema ni kweli kabisa.
Nyerere akuleta uhuru Tanzania
We manywele hujui historia, uhuru ni wa Tanganyika na sio Tanzania. Kilaza mwenzenu ndio anawajaza ujinga kuwa kuna uhuru wa Tanzania. Wakristo hawakuhitaji sana uhuru kwa vile walikuwa wamewadhibiti wakoloni vilivyo, mfano ni majimaji songea na Mkwawa Iringa. Waislamu ndio waliochukuliwa sana kwenda utumwani kwa sababu ya uvivu wa kufikiri na kupenda ya bure.
Ndio maana wakati umefika tugawane hii nchi ili tuheshimiane kwa utendaji kazi na sio porojo za kuchepusha historia. Hata kule Zenji maustaadh waliogopa vita wakamuachia Okello peke yake lakini hawamtaji katika historia kwa vile sio muislam
 
Ni kweli hao jamaa wa radio iman wanachosema ni kweli kabisa.
Nyerere akuleta uhuru Tanzania
Kwa iyo Mr.Green guard inabidi husiadhimishe sherehe ya kumbukumbu ya baba wa taifa bali anzisheni siku yenu maalumu ya kumuenzi mama wa taifa (Bibi Titi Mohamed) kama hao jamaa wa Radio Iman wanavyoshauri.
 
Hiyo redio ifungwe mara moja. Yakitokea yale ya Rwanda itabidi wenye redio wapelekwe ICC

kumbe we huifaham vzur hii radio eeh? Inawafuasi nchi nzima ambao si lelemama,,na sasa kaeni tayari kuangalia Iman Tv hivi karibuni... Mara kibao waziri wa habari amejitahidi kutishia kuifungia radio hii lakini ameshindwa
 
Hawajakosea kabisa. Fatilia historia, utaujua ukweli wa mambo.

Mzee unaamini kabisa kuwa wakristo wao walikuwa wanafaidi wakati wa wakoloni waliokuwa wanateseka na ukoloni ni waislmu tu? Unaamini kuwa wakristo walikuwa wanakutana na wakoloni makanisani jumapili wanagongeana wakati waislamu wakifanyishwa kazi katika masihamba, wakinyimwa haki zao za msingi ambazo wakristo walikuwa wanazifaidi vizuri tu.
 
Wanadai uhuru uliletwa na waislamu wakaamua kumzoa nyerere huko kijijini ili aje asimamie kwa vile alionekana amesomasoma baadae akawageuka.

Mkuu, ningekuwepo ningewauliza, ni kijiji gani walikoenda kumchukua Mwalimu? Butiama, Pugu au Magomeni?, na wao kama kweli walikuwa na uwezo huo walishindwaje kujiongoza. Mbona walikuwepo wajanja akina mzee Sykes, Fundikira nk. Kwa nini hawakumteua mmoja wao awe ndiye rais wa TAA na Baadaye TANU. Na je, Mzee tajiri na mfadhili mkuu kipindi kile Mzee John Rupia na pia Oscar Kambona, walibadilisha dini baada ya uhuru na kuwa wakristo? Kwa sababu ndio wanachama waanzilishi wa TAA na baadaye TANU. Tatizo watu ni wavivu wa kuelimika na kupata ufahamu wa historia badala yake wamekalia udini tu. Utawadumaza wasione mbali
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom