Mkuu wa kaya yuko hoi sana,tena taabani,vile tu hawajui lakini ki ukweli yuko hoi sana na hwa jamaa wamemkalia kooni sana kiasi kwamba yanayotekelezwa ni namna ya kutafuta ushindi tu wa jimbo anasahau kwamba sumu ya udini anayoeneza intakuja kumgharimu pia ni hatari sana kujitokeza kwa bakwata na kuhubiri kitu kama hicho,najiuliza hivi kama wa-kristo nao wakasimama na kusema wasichague ccm patakallika?na je watawaacha tu na kukaa kimya?
hata hivyo tusiendekeze ubaguzi tujiangalie wenyewe nature ya dini zetu kama zina element ya ubaguzi tujisahhishe na wala tusiingize dini zetu kwenye siasa,hawa CCM waachaeni wahangaike kivyao,tusihusishe dini na vyama.
hata hivyo tusiendekeze ubaguzi tujiangalie wenyewe nature ya dini zetu kama zina element ya ubaguzi tujisahhishe na wala tusiingize dini zetu kwenye siasa,hawa CCM waachaeni wahangaike kivyao,tusihusishe dini na vyama.