Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Tusipokemea, Redio Imaan itatuvuruga

Status
Not open for further replies.
Mwalimu alikemea kubaguana kwa kigezo cha udini,ukabila na mengine mengi.Serikali iliyopo madarakani ikishirikiana na ccm wao ndio wa kwanza kueneza udini Kama tulivyoona ktk uchaguzi mdogo wa jimbo la Igunga.Iendeleee tu kukaa kimya ktk hili lakini ikumbukwe hili ni bomu linatengenezwa nao na litakuja kuyagharimu maisha ya Watanzania hasa wa hali ya chini tunaotumika vibaya kama cond..m.
 
Mungu atusaidie,huku tunakokwenda siko kabisa,Udini ni mbaya sana na hapa serikali hii inayatizama haya mambo yakiendelea kushamiri kila siku
 
mzee ukapimwe ww akili yako unayesapot ushenzi wenu huo wa kiislam
 
Mambo haya utayachukia kama wewe umesha amini unachokijua kuwa ndo sahii kuliko wenzako wanacho amini au kujua.Redio haina tatizo lolote watu wanaochangia hawana tatizo kwani wao ndo ukweli wao.
Nirudi kwenye mada ni kweli kuwa uhuru wa Tanganyika ulipiganiwa na watu wengi kuliko tunavyo jua.Ebu tujiulize jina Tanganyika limeanza lini?Kama Tanganyika ilianza before 1900 je hawakuwepo watu walipinga ukoloni wa Wajerumani wao wakiwa wanataka kuwa huru?
Je hakuna welfare assocition ambazo zilipinga ukoloni ata kabla ya TAA na TANU?Na je viongozi hawa wanaenziwa?
Nadhani hili la kumkumbuka Nyerere kuliko wengine ni kama timu ya mpira ambayo wachezaji uwanjani ni kumi na moja na wanashirikiana kucheza lakini gori linafungwa na mchezaji mmoja na ndiye anayeshangiliwa na kupewa shukrani ingawa kazi imefanywa na wote.
Hawa wanaosema waislam ndio waliopigania huru leo wanaweza kutudhiilishia kama Tanganyika iliwai kuwa nchi ya Kiislam?Watu walishiriki kama watu wa Tanganyika wazalendo na siyo waislam.
 
Sasa kumbe ni mchangiaji mmoja!!!!??? 🙁

Kumbuka kuwa katiba ya Tanzania ibara ya 18 inatoa haki kwa wananchi kupata taarifa na kuwa na uhuru wa maoni. Ibara hiyo inasema, “Kila mtu, anao uhuru wa kuwa na maoni na kueleza fikra zake.....

Hiyo yeye kama mchangiaji ametoa maoni yake wewe kinakukera nini...?

Unapoona mwenzako anakosea palepale utumie hekima kumrekebisha kwa kutumia busara/hekima, kwanini na wewe usingepiga simu ukatoa maoni yako ili kumrekebisha...na utoe hoja zako?

Sasa huenda huyo ulomsikia sio member wa JF kwahiyo hatapata fursa ya kupata hoja zako lakini lau kama palepale ungepiga simu ukanushe alichosema ni wazi kuwa na wewe angekusikia ujumbe wako..

Mtoto anapokosea sio uende kwa jirani kumsengenya bali palepale unamwita na kumkemea...

Tatizo sio mtu mmoja kama ulivyomkosoa jamaa hapo juu,tatizo kauli ile(kuwa Mwalimu ni Kafiri)aliitolea ktk chombo cha habari kinachosikilizwa na wengi,je ni wangapi watakuwa wameshawishiwa na kauli ile na wakaiunga mkono?
 
kwan Nyerere ni nani? ndo Mungu wenu Watanzania? Mnamuenz kwa nana gan? ndo maana mnapata malaana kwa kuenzi na kusujudia Mifupa. yeye ndo chanzo chawa washenzi waliopo madarakani. Nyerere amewaacìa nini had mnajidai kumkumbuka sana? Muogopeni Mungu nyie watanganyika.
 
]Lakin huyu Nyerere alikuwa na Msaada gani kwa Wazanzibari hadi leo hii twalazimishwa kukaa majumbani kwetu ati kumuenzi! Dogshit!! Ye si ni baba wa Taifa la tanganyika ambalo kaliua mwenyewe?[/QUOTE]


Mimi nawashanga nyie mnaojiita wazanzibar,dogshit ni nyie wenyewe,maana mnasema nyerere hajawasaidia nawashangaa sana,hamuoni ni kwa namna gani mnavyofaidika na Muungano,idadi kubwa ya vijana wa kizanzibar wapo bara wanatafuta maisha ukiringanisha na vijana wa bara waliopo zanzibar.
Mnabaki kulala mika tu,kwanza nyie ni :-
1.wavivu,hamfanyi kazi,wanafiki wakubwa,msio na fadhira,N.K,Naomba niishie hapo
Wazanzibar mwogopeni Mungu msiongee maneno ya kashfa zid ya baba wa taifa,laana haita waacha itawala
 
Udini na Ubinafsi ndio unaotusumbua na dhambi hii mbaya itatutafuna na mwisho wake utakuwa mbaya kuliko tunavyoona sasa,badala ya kuongelea mambo ya msingi tunafikiria na kupoteza muda kuongelea mambo ambayo hayatujengi wala kutuletea maendeleo,sishangai kuona tunazidi kuwa masikini ilhali wenzetu wanazidi kuendelea kwani fikra zetu ni duni sana na tutabaki masikini milele.
 
Tatizo sio mtu mmoja kama ulivyomkosoa jamaa hapo juu,tatizo kauli ile(kuwa Mwalimu ni Kafiri)aliitolea ktk chombo cha habari kinachosikilizwa na wengi,je ni wangapi watakuwa wameshawishiwa na kauli ile na wakaiunga mkono?

Ndo nasisitiza kwamba kwakuwa unadhamira njema piga simu palepale unaposikia ili hata wale walokuwa convinced na kilichoongelewa wapate kutambua hoja yako pia...

Lakini unapokuja kuongelea huku then utakuwa umemyima fursa yule mchangiaji ulomhisi anaenda mrama maana hakuna aliye msafi...mbona ni ishu simpo tuu.
 
U wil hate islam but islam wil go on spreading all over the world.pamoja na harakati za kuiangamiza mnazofanya hamtafanikiwa daima milele.mtakufa uislam hautakufa kwa kuwa ni dini ya haki....shame on u.
 
Hii redio ina baraka toka magogoni mtapiga kelele weee sheria zitawekwa kando ili lengo lao litimie.
 
Si hawa wa TAnzania tu waisla wote Duniani ndiyo hivyo walivyo kote kama huamini chunguza .
 
U wil hate islam but islam wil go on spreading all over the world.pamoja na harakati za kuiangamiza mnazofanya hamtafanikiwa daima milele.mtakufa uislam hautakufa kwa kuwa ni dini ya haki....shame on u.

Calm down mkuu, we live in a small world, mutual tolerance is the only way.
 
MWONGOZO TWAFADHALI!! Mods! Haupo? Funga hii Thread! Hatutaki mambo haya humu jamvini.
 
Jamani wanajf mbona hivo,unajua ukianza kumkosoa mwenzako kumbuka ukubaliani na fikra zako,lakin ukijikubali hautakuwa na muda mchafu wa kujilinganisha na wa2,topik ni swala Baba wa taifa au redio aman?achen unafki na chuki mbona mnawaenzi ndugu zenu makaburini ili la nyerere ndo tatizo?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom