Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 846
Hata kule Zenji maustaadh waliogopa vita wakamuachia Okello peke yake lakini hawamtaji katika historia kwa vile sio muislam
okelo kafiri aloletwa na Nyerere kuuwa wazanzibari
Hata kule Zenji maustaadh waliogopa vita wakamuachia Okello peke yake lakini hawamtaji katika historia kwa vile sio muislam
Asante kwa kutufungua macho
Hiyo redio haiwezi kufungwa kwa sababu ina baraka za serikali iliyo madarakani na ccm kwa ajili ya malengo binafsi ya muda mfupi. Hata hivyo watambue kabisa kwamba mwisho wake kutakuwa na majuto makubwa sana.Hiyo redio ifungwe mara moja. Yakitokea yale ya Rwanda itabidi wenye redio wapelekwe ICC
Kwa iyo Mr.Green guard inabidi husiadhimishe sherehe ya kumbukumbu ya baba wa taifa bali anzisheni siku yenu maalumu ya kumuenzi mama wa taifa (Bibi Titi Mohamed) kama hao jamaa wa Radio Iman wanavyoshauri.
Shule ni kitu muhimu sana! narudia Shule ni muhimu mno! jitahidi umpeleke mtoto wako shule ili asipate shida maishani in the future.
Sitajaribu na wala sitafanya makosa kusikiliza hii radio,ni kati ya radio za ajabu sijapata ona.........Uislamu ni dini moja safi sana,ila kuna watu wachache au taasisi chache wanaitumia vibaya including Bakwata,CCM na Radio kama hizi...
Kama dini yenu ni safi waelezeni watu usafi wake sio kueleza imani isiyokuhusu
Hawa wanaosema waislam ndio waliopigania huru leo wanaweza kutudhiilishia kama Tanganyika iliwai kuwa nchi ya Kiislam?Watu walishiriki kama watu wa Tanganyika wazalendo na siyo waislam.
kwan Nyerere ni nani? ndo Mungu wenu Watanzania? Mnamuenz kwa nana gan? ndo maana mnapata malaana kwa kuenzi na kusujudia Mifupa. yeye ndo chanzo chawa washenzi waliopo madarakani. Nyerere amewaacìa nini had mnajidai kumkumbuka sana? Muogopeni Mungu nyie watanganyika.
Serikali iwaangalie sn, hawa jamaa wanasema kwa kwa muislamu kumuenzi nyerere ni haramu
Ni kweli hao jamaa wa radio iman wanachosema ni kweli kabisa.
Nyerere akuleta uhuru Tanzania
Sasa wewe ndugu yangu inakuaje unatuletea vipindi vya madrasa kwenye JUKWAA LA SIASA???Kuna mdaharo unaendelea kwenye hii radio wao wanasema uhuru wa tz uliletwa na waislamu na si nyerere, wanadai haina maana ya kumbuka mwalimu wakati historia imepotoshwa, wanasema nyerere alijikita ktk kujenga makanisa na sio misikiti, wanauliza kwa ni kuna baba wa taifa hakuna mama wa taifa? Wanasema labda kwa vile ni mwislamu bibi titi mohamed. Mimi hii radio siielewi hembu wadau leteni maoni yenu hapa, kama una redio wasikilize mada inaendelea.
i hate islamic religion,i hate muslims!
Sasa wewe ndugu yangu inakuaje unatuletea vipindi vya madrasa kwenye JUKWAA LA SIASA???
Mie nnachowashauri waislamu wenzangu ni kuwa tujitahidi sana kusoma shule, na katika kusoma huko tuanze kwanza na elimu za msingi, sekondari na kisa chuo, tusianze na chuo tukiwa bado watoto tukikua tutakuwa na gap kubwa sana ya uelewa.