sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,408
- 19,033
Walengwa ni mabinti wenye soko kubwa chini ya miaka 28
Kwa ulaya na Marekani mambo ya kuhusisha familia hayana uzito, hata binti aolewe na kapuku hayo ni maamuzi yake na atapewa kila baraka.
Shida inakuja kwetu Afrika
1.familia ya binti ipo vizuri kiuchumi, binti, kaka, dada na wadogo zake wamesomeshwa shule private, hawajawai kulala njaa, parking ina gari kadhaa, n.k.
ndugu wengine nao hasa wa upande wa baba kina baba mdogo / mkubwa nao wapo vizuri
binti anaweza kukuelewa na kuzimika kwako lakini kuhusu suala la ndoa sahau kabisa, familia yake na ndugu zake wana status ya juu, wewe ulie na hali ya chini ni kama unaenda kuweka doa.
mwanaume huna hata pikipiki, binti wa watu kalelewa mambo safi, hao kaka zake watakuelewa kweli umtoe dada yao ushuani umpeleke uswazi ? Hawataamini kuwa dada yao kakupenda bali umemroga na watakuona mchawi.
Kwa ulaya na Marekani mambo ya kuhusisha familia hayana uzito, hata binti aolewe na kapuku hayo ni maamuzi yake na atapewa kila baraka.
Shida inakuja kwetu Afrika
1.familia ya binti ipo vizuri kiuchumi, binti, kaka, dada na wadogo zake wamesomeshwa shule private, hawajawai kulala njaa, parking ina gari kadhaa, n.k.
ndugu wengine nao hasa wa upande wa baba kina baba mdogo / mkubwa nao wapo vizuri
binti anaweza kukuelewa na kuzimika kwako lakini kuhusu suala la ndoa sahau kabisa, familia yake na ndugu zake wana status ya juu, wewe ulie na hali ya chini ni kama unaenda kuweka doa.
mwanaume huna hata pikipiki, binti wa watu kalelewa mambo safi, hao kaka zake watakuelewa kweli umtoe dada yao ushuani umpeleke uswazi ? Hawataamini kuwa dada yao kakupenda bali umemroga na watakuona mchawi.