Tupendekeze majina ya watakaoshindana kwenye Ligi ya wenye kauli mbovu kwa wateja. Makonda wa daladala wataanzia fainali moja kwa moja

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,233
22,317
Wakuu nimeona kutokana na malalamiko ya wateja kutamkiwa kauli mbovu na watoa huduma kwenye sekta mbalimbali ni vema tukataja majina ya wahusika ili tuwaandalie ligi yao maalum. Wadhamini watapatikana.

Makonda wa daladala wao wanaingia fainali moja kwa moja kutokana na kiwango chao kuwa juu kama Simba SC. Kwa kuanzia ninawataja wafuatao na nyie mtaendelea;

1. Manesi
2..............
3..............
 
Wakuu nimeona kutokana na malalamiko ya wateja kutamkiwa kauli mbovu na watoa huduma kwenye sekta mbalimbali ni vema tukataja majina ya wahusika ili tuwaandalie ligi yao maalum. Wadhamini watapatikana.

Makonda wa daladala wao wanaingia fainali moja kwa moja kutokana na kiwango chao kuwa juu kama Simba SC. Kwa kuanzia ninawataja wafuatao na nyie mtaendelea;
1. Manesi
2..............
3..............

Na yule Makonda wa naniliu anaanzia wapi?
 
Kweli wewe hujui historia ya ulipotokea. Yaani from conception to hapa unavyokomenti. Tafakari
😅😅
Mkuu ni kweli huenda sijui ila naomba uniambie inahusiana nini na wanawake wenye maumbile makubwa (makalio) kujiona Bora kuliko wengine
 
Wakuu nimeona kutokana na malalamiko ya wateja kutamkiwa kauli mbovu na watoa huduma kwenye sekta mbalimbali ni vema tukataja majina ya wahusika ili tuwaandalie ligi yao maalum. Wadhamini watapatikana.

Makonda wa daladala wao wanaingia fainali moja kwa moja kutokana na kiwango chao kuwa juu kama Simba SC. Kwa kuanzia ninawataja wafuatao na nyie mtaendelea;

1. Manesi
2..............
3..............
Umekosea, ulipaswa utuambie tutaje na hizo kauli zao mbovu, tukianza na makondakta wa daladala
 
Wanaume wanaojitambulisha kwa ID za kike jf........ohoooo nshachanganya kumbe mlimaanisha huduma kwa wateja bas wale Suma jkt
 
Back
Top Bottom