MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 10,233
- 22,317
Wakuu nimeona kutokana na malalamiko ya wateja kutamkiwa kauli mbovu na watoa huduma kwenye sekta mbalimbali ni vema tukataja majina ya wahusika ili tuwaandalie ligi yao maalum. Wadhamini watapatikana.
Makonda wa daladala wao wanaingia fainali moja kwa moja kutokana na kiwango chao kuwa juu kama Simba SC. Kwa kuanzia ninawataja wafuatao na nyie mtaendelea;
1. Manesi
2..............
3..............
Makonda wa daladala wao wanaingia fainali moja kwa moja kutokana na kiwango chao kuwa juu kama Simba SC. Kwa kuanzia ninawataja wafuatao na nyie mtaendelea;
1. Manesi
2..............
3..............