KING MIDAS
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 10,569
- 21,075
Wapendwa, mambo vipi? Tuko hapa kibadilishana mawazo, maarifa, na kujulishana machimbo wanakouza Kitimoto 🐖🐷🐽 katika mikoa mbalimbali na wilaya zake
Huko noma. Kilo wanauzaji?Nenda Mbeya kila sehemu chimbo la 🐷
7000elfu saba mpaka 8000Huko noma. Kilo wanauzaji?
Full uhondo7000elfu saba mpaka 8000
Jana nimenunua kilo 140007000elfu saba mpaka 8000
Mbeya nayo kubwa njoo RungweJana nimenunua kilo 14000
Nipe ramani mkuu!!!Kwa Irene sinza kwa remi
MashallahView attachment 3407632
Ndizi mlima
Mashallah