tpaul
Platinum Member
- Feb 3, 2008
- 27,412
- 28,456
Kwani amefungwa pingu za maisha? Aondoke tu isiwe taabu bhana!
Kwani amefungwa pingu za maisha? Aondoke tu isiwe taabu bhana!
Imagine broo🥲Danga km danga lazima liliwe!!!!
Lazima ufunge break za panya kamuona paka weeee weee. Kwanza karudi na chale mwili woote.Anamtisha tu, mi naona ni coincidence tu ilitokea huyo mchepuko akapata ajali...
At least wangeshafariki michepuko wawilii ama watatu basi ingeaminika...
Stori hiyo umeiamini mkuu? 😁Kwahiyo angefanyaje hapo? Mnajikutaga miungu watu nyinyi🚮
Acha roho mbaya wewe!Dawa ya kumtuliza mwanaume malaya ni kumpiga stroke kipi hujaelewa hapo
Sijui kama ni ya kweli au uongo, nmechangia kama ilivyo tu, ila kuna watu wapo hivyo ninamjua mmoja aisee! Usiombe!Stori hiyo umeiamini mkuu? 😁
Matanga kbs yaani mtu wa dada wa Faida kbs kvuta shuka.Imagine broo🥲
Mimi napopata shida ni mtu huyo aliyeweza fanya hivyo unawwza mkuta pia analalamika ametapeliwa na hajui vha kufanya,Sijui kama ni ya kweli au uongo, nmechangia kama ilivyo tu, ila kuna watu wapo hivyo ninamjua mmoja aisee! Usiombe!
In the KnowTumesoma wote kitabu kimoja?usitaje jina but kuna qoute mle inasema "In positions that require a higher level of cognitive ability, there are more men because a greater proportion of men have above-average IQs compared with women. However the average man and the average woman have the same cognitive ability.”
Amna usiwe hivyo rastamate, sisi huku ni haile haile.Labda sio mimi, utakachofanya nalipiza mara mbili yake! Mimi nitulize uke ndani wewe unaonesha mpaka majirani na marafiki zangu! Halafu unaona haitoshi unanirogea danga langu😂
Aisee atajuta humo ndani, sema huyo sista naye anampenda mumewe sana, mi ningekuwa shachukua times zangu!Matanga kbs yaani mtu wa dada wa Faida kbs kvuta shuka.
Mkigombana kidogo unaweza kusema weee muuaji na chale zake.
Sijakuelewa🤔Mimi napopata shida ni mtu huyo aliyeweza fanya hivyo unawwza mkuta pia analalamika ametapeliwa na hajui vha kufanya,
Sjui kama unanipata mkuu 😁
MaoniSasa si umesha comment hapo, au sijaelewa...
Haibo haiboo😆Amna usiwe hivyo rastamate, sisi huku ni haile haile.
Mi nakuambia mkuu hayo mambo ni imani...Lazima ufunge break za panya kamuona paka weeee weee. Kwanza karudi na chale mwili woote.
Pili danga limeng'ata shuka weee kuweza.
Lazima uombeleze kwanza moyo upoe, maana kila ulimwangalia kila kesi haifai si uhaini labda mauwaji.
Tatizo ushahidi anaumiliki yeye wa chale aisee
Kazi ipo .
Jamaa aaliyepga chale kumuua mjuba, siku ukikuta analalamika katapeliwa na hajui cha kumfanya aliyemtapeli, je inamaana njia zile alizotumia mwanzo za mganga haazipigi kazi kwenye scenario ya utapeli,?Sijakuelewa🤔
Me sinaga noma kabisa, kwanza huwa sipendi bato, naenjoy life, sipendi purukushani😁Haibo haiboo😆