cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 118,032
- 192,682
Wanaume hao sio wa hapa Bongo, labda huko Kwingineko.Kuna yule jamaa alihojiwaga studio moja sikumbuki radio gani akiwa amelewa chakari akasema “Kichwa cha mwanaume mmoja aliyelewa chakari ni sawa na vichwa vitano vya wanawake wasomi wenye masters” akachukiwa kweli ila ndiyo ukweli ule.