nyakubonga
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 6,846
- 12,021
Kwenye ndoa, dawa ya moto ni maji...Mnajichagulia vya unafuu! Angekuwa huyo dada ndio anaanzisha matatizo mngebwatuka vibaya mno kwenye comments, ila kwavile mnajuana basi mnamchagulia maamuzi! Mtu anapita na majirani marafiki wote eti atapunguza ujinga! Dawa ya moto ni moto!!