Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 32,557
- 93,436
Kila ulozi na formula yake😆Jamaa aaliyepga chale kumuua mjuba, siku ukikuta analalamika katapeliwa na hajui cha kumfanya aliyemtapeli, je inamaana njia zile alizotumia mwanzo za mganga haazipigi kazi kwenye scenario ya utapeli,?
Sisi wengine imani ipo low sana aisee
Mimi hayo mambo nayasikia tu jamani, hayajawahi kunikuta! Huwa nasubiri niwaone hao wanga siwaoni😎