Tupate wadhamini kidogo

Tupate wadhamini kidogo

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,378
Reaction score
139,286
linet_wa_stories_16b7171ea3064beaa75a7033fe8dfd55.jpg

linet_wa_stories_69a8165f4f774d638b67befe342f920f.jpg
 
Huyo mwanamke ni amempenda sana bwana? Maana km ana kipato binafsi cha kuhudumia familia bila huyo Malaya mzoefu, shida ni gani kwake kusepa?

Halafu ndoa ya kikristo kutegemea kanisa litatue ni uongo, yeye afanye maamuzi kwa kuwa uchumi anao, akusanye watoto na kila kitu chake aende kwingine akaanze maisha mapya.

Yaan Pa1 na yote hayo anavumilia tu? Kisa nitaonekanaje kwa jamii? Au status ya kuwa mke wa fulani ili haki hiko ndani ni pachungu, Lol.
Polee yake.
 
Huyo mwanamke ni amempenda sana bwana? Maana km ana kipato binafsi cha kuhudumia familia bila huyo Malaya mzoefu, shida ni gani kwake kusepa?

Halafu ndoa ya kikristo kutegemea kanisa litatue ni uongo, yeye afanye maamuzi kwa kuwa uchumi anao, akusanye watoto na kila kitu chake aende kwingine akaanze maisha mapya.

Yaan Pa1 na yote hayo anavumilia tu? Kisa nitaonekanaje kwa jamii? Au status ya kuwa mke wa fulani ili haki hiko ndani ni pachungu, Lol.
Polee yake.
Sepa nikuroge ufe kama huyo mpuuzi mwenzako niliyempatisha ajali akafa 😁😁 hapo vipi mrembo
 
Kwanza huyo jamaa anampenda sana mke wake, wanaume tunajuana...

Pili huyo dada alipaswa kurudi kwao, huyo jamaa atamfuata na atapunguza ujinga kwa asilimia kubwa...
Mnajichagulia vya unafuu! Angekuwa huyo dada ndio anaanzisha matatizo mngebwatuka vibaya mno kwenye comments, ila kwavile mnajuana basi mnamchagulia maamuzi! Mtu anapita na majirani marafiki wote eti atapunguza ujinga! Dawa ya moto ni moto!!
 
Kwahiyo angefanyaje hapo? Mnajikutaga miungu watu nyinyi🚮
Imeandikwa jino kwa jino, ila mimi nawaambieni msishindane na mtu mwovu, mtu akikupiga shavu la kushoto mgeuzie na la kulia, mtu akitaka kanzu yako, mpe na joho pia, mtu akikulazimisha kukimbia mile moja ongeza zaidi😃

Ila binadamu wabishi sana wallah
 
Back
Top Bottom