Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Kabla ya Lisu ushoga umekuwepo dunani (kumbuka sodoma na gomora) pia hapa Tanzania (kumbuka akina faruku na kitwana). Leo yupo Amber rutty na delicious. Lumumba mmeng'ang'ania ushoga ushoga Lisu anahusika vipi ? Mbona Dr Maiga hamkumuuliza alipowajubu waźungu.?Ushoga hamuhitaji ila fedha za Wazungu mnazitaka kama siyo upungufu wa nguvu za kiume ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hakika umekubuhu kamanda! Unawajua wenzako mpaka kwa majina na nyakati! Ama kweli jamii yetu imeingiliwa ..
 
TL needs to have more facts while responding to the questions of the Journalist, the interview with the BBC Hard Talk was well save few errors.
 
Kidumu chama cha mapinduzi... Maendeleo Oyeeeee...


JANGA.jpg
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706

Ni mpuuzi Mkuu
 
Kwani matatizo yake ni matatizo ya kidunia??

Acheni uzwazwa in Zitto'z voice.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama hata hujui kuwa masuala kama utu wa binadamu ni global issue utakuwa umepotea kuja kwenye huu uzi!
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706


Best of Lucky brother Lissu .
 
siyo vichaa wote wanavua nguo barabarani wengine wanazunguuka tuuuu kuongea maneno yasiyo na maana kwa kufikiri wanamkomoa fulani lazima apimwe akili siyo bure kuna zingine zilidondokea dom
Mpimeni kwanza aliyejiita kichaa, lakini haina haja ya kumpima maana maneno na matendo yake yana reflect uhalisia kuwa yeye ni kichaa.
 
Let me tell you one thing which makes you loose.

Leo viongozi wa dini wote walikuwa Ikulu wanampigia chapuo Rais kuwa bado miaka 7.

Nimegundua kweli ninyi mnaolalamikia kuminywa kwa demokrasia mnafanya utukutu wa kisiasa ili kumtoa relini Rais. Amewastukia na kaeleza vzr kwa ufasaha dunia nzima imeona viongozi wa dini wakiitikia kwa vichwa.

Tundu nae alishindwa kutoa evidence kwa Sackur Sasa atakae watetea nyie ni nani?.

La msingi tutakuwa na kampeni za serikali za mitaa soon na next year uchaguzi mkuu sioni wapi mtatokea sbb wazazi wetu kiroho wote wapo na Rais wakimuita majina mbalimbali ya Biblia na Koran.



Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujidanganya
 
Duh kiukweli mimi binafsi tundu lissu kwasasa simuelewi kabisa kwahayo anayoyafanya naanza kuamini huyu bwana sio mzalendo kweli tena hafai kabisa kwenye Jamii

Sent using Jamii Forums mobile app
Wale waliotaka kumuua ndio wazalendo sio? Serikali na Bunge limemtupa bila hata kutoa senti ya matibabu wacha akinukishe tujue mbivu na mbichi...
 
TL needs to have more facts while responding to the questions of the Journalist, the interview with the BBC Hard Talk was well save few errors.
They did not want facts from Tundu Lissu, they have facts, all they wanted is for Lissu to to use that platform to speak to the world about the primitive governance of one of the poorest countries of the world.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom