Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Mnafikiri bila amani nchi hii ingekuwaje?.
Angalieni jirani zetu wa drc.
Ifike mahali muwe na shukrani .
Hebu mniambie mnataka amani ya namna gani?
Kweli alivyofanyiwa lisu si vizuri.
Na kuwahukumu vingozi kwa jambo hilo pia haifai km kuna matatizo tuviachie vyombo vya usalama vifanye kazi yake.
Lissu atazunguka ulimwengu mzima kujieleza yaliyompata je ulimwengu haujajua km alishambuliwa kwa risasi?.yeye arudi aje achape kazi km afya yake inamruhusu.
Yaliyopita yamepita.

Sent from my 8050D using JamiiForums mobile app
 
Let me tell you one thing which makes you loose.

Leo viongozi wa dini wote walikuwa Ikulu wanampigia chapuo Rais kuwa bado miaka 7.

Nimegundua kweli ninyi mnaolalamikia kuminywa kwa demokrasia mnafanya utukutu wa kisiasa ili kumtoa relini Rais. Amewastukia na kaeleza vzr kwa ufasaha dunia nzima imeona viongozi wa dini wakiitikia kwa vichwa.

Tundu nae alishindwa kutoa evidence kwa Sackur Sasa atakae watetea nyie ni nani?.

La msingi tutakuwa na kampeni za serikali za mitaa soon na next year uchaguzi mkuu sioni wapi mtatokea sbb wazazi wetu kiroho wote wapo na Rais wakimuita majina mbalimbali ya Biblia na Koran.



Sent using Jamii Forums mobile app
Viongozi wa dini ni nani katika masuala haya?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ili iweje wakijua tena siyo uovu wa nchi ni baadhi ya watu waovu waliompiga risasi ukisema uovu wa nchi ni pamoja na wewe uliyeandika nimuovu na ni adui wa lissu
Wewe ni kenge mbona waliofanya tukio hadi leo hawajakamatwa wako wanapambana na kumnyima matibabu kumnyanganya ubunge wake na mambo kaza wa kaza tunataka dunia ifahamu na kwakuwa walitegemea hatoamka tena huo ndiyo wakati wa wenye roho mbaya kama ya kwako dunia iwajue nafikiria wanajuta kwann ilikuwa vile laiti tungejua hivi kwanini hatukumpeleka muhimbili jaman hivi ilikuwaje?hayo ndiyo wanayojiuliza leo hii, ila mbowe pumzika tu hapo segerea siyo kwa mapenzi yako ila kazi kubwa umeifanya sasa wanalumumba nawatanzania wapenda democracy wanaona matunda ya yale uliyopambana nayo kuokoa maisha ya lisu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pumbavu we kabisa, vyombo vya dola vipi, umeshawahi kusikia hata mtuhumiwa mmoja kukamatwa na kuhojiwa? Umeshawa wahi kusikia hata huyo kiongozi wenu wa mazwazwa kuongelea au kusisitizia upelelezi ufanyike?
hao walioko magerezani ni kazi ya nani kama siyo vyombo vya dola na kiongozi hawezi kuzungumzia suala ambalo liko mahakamani
 
Sijaelewa,faida yake.maana yanayoendelea yanaonekana kwa macho.
Ujinga wako ni tatizo,UNAAMBIWA KAPEWA MIALIKO YA CNN,ALJAZEERA NATV CHANNELLS ZAIDI YA 20.AKATAE
unajua wewe kichwa cha sambusa,kuwa Kikwete aliwahi kuhijiwa na CNN,Mkapa alihojiwa na BBC,Nyalandu na BBC,sasa wewe unalia nini?
 
Wewe ni kenge mbona waliofanya tukio hadi leo hawajakamatwa wako wanapambana na kumnyima matibabu kumnyanganya ubunge wake na mambo kaza wa kaza tunataka dunia ifahamu na kwakuwa walitegemea hatoamka tena huo ndiyo wakati wa wenye roho mbaya kama ya kwako dunia iwajue nafikiria wanajuta kwann ilikuwa vile laiti tungejua hivi kwanini hatukumpeleka muhimbili jaman hivi ilikuwaje?hayo ndiyo wanayojiuliza leo hii, ila mbowe pumzika tu hapo segerea siyo kwa mapenzi yako ila kazi kubwa umeifanya sasa wanalumumba nawatanzania wapenda democracy wanaona matunda ya yale uliyopambana nayo kuokoa maisha ya lisu .
mbowe anapumzika kahali ambapo alipataka mwenyewe kwanini haheshimu hmahakama acheni ujinga mtaishia jela wote wenye akili kama za mbowe na lisu
 
hivi kwa akili yako unafikiri anachokifanya kinamuathiri nani labda wala hakuna mtu anashtuka aendeleeeee akichoka atarudi watu wanaendelea na kazi zao
kumbe unajua ndg kua hakuna kitakae muathiri sasa posti zako zooote za nini,kama ni kichaa,si tumuache tu dunia imuone kichaa yeye?,tumuache ajiaibishe yeye na chama chake ,wewe hofu yako nini?
 
matumizi mabaya ya fedha za chama. unless kuna mfadhili wake maalum anayegharamia hizo ziara za kwenye TV mbali mbali ambazo they have very little impact kwenye maisha ya watanzania.
anayekualika ndo analipa gharama ndugu.na kama kuna mfadhiri wewe kinakuuma nini?
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706
WAKIMATAIFA, HII SASA NI ZAIDI YA NYRERE NA NKURUMA
 
Kunusurika kile kifo ilikuwa ni mkakati wa kiroho... Bila hivyo asingeweza kufika kote huko... Ona mwenyekiti anaozea segerea kama kibaka wakati hajala risasi hata moja... Matendo ya Mungu si ya mwanadamu...

Jr[emoji769]
Mshana Jr uko sahihi kabisa, Mungu ana mipango yake iliyofichika kwa akili za binadamu, kumbe yale mateso ya Lissu ilikuwa ni njia tu ya kulet ukombozi.

Wamepia teke chura.
 
Back
Top Bottom