Let me tell you one thing which makes you loose.
Leo viongozi wa dini wote walikuwa Ikulu wanampigia chapuo Rais kuwa bado miaka 7.
Nimegundua kweli ninyi mnaolalamikia kuminywa kwa demokrasia mnafanya utukutu wa kisiasa ili kumtoa relini Rais. Amewastukia na kaeleza vzr kwa ufasaha dunia nzima imeona viongozi wa dini wakiitikia kwa vichwa.
Tundu nae
alishindwa kutoa evidence kwa Sackur Sasa atakae watetea nyie ni nani?.
La msingi tutakuwa na kampeni za serikali za mitaa soon na next year uchaguzi mkuu sioni wapi mtatokea sbb wazazi wetu kiroho wote wapo na Rais wakimuita majina mbalimbali ya Biblia na Koran.
Alitoa evidence kwa ushahidi wa kimaingira unaonyesha uhusika wa serikali kama vile: matukio kabla ya kushambuliwa alitoa taarifa ya kufuatiliwa na TISS, pili alieleza kukataaliwa kwa uchunguzi huru tatu alisema kuna viongozi wa juu wa CCM walitoa wito hadharani kuwa auwawe na baada ya muda akapigwa risasi hakuna katika hao aliyeitwa kuhojiwa. Halafu wewe ndugu yangu unasema ati hapo sio jaribio la mauaji ya kisiasa kweli unajitoa ufahamu kiasi hicho sikulaumu hiyo ndio akili ya ki CCM kwamba ukiwa kada basi asilimia fulani za akili huwa zinapotea. Pia alisema wazi kuwa JIWE ALIUZIA MATIBABU YAKE KULIPIWA NA BUNGE. Hapo hajaongelea issue ya Kalemani kutoa CCTV .Kifupi wewe ni MPUMBAVU NA MUUAJI.
Sent using
Jamii Forums mobile app