Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,252
- 98,255
Kamuulizeni Mugabe atakupeni siri ya nini kilichomkuta
In God we Trust
In God we Trust
Ccm kutoka madarakani kwa boks la kura ni ndoto mazeeWashukuriwe polisi na Tume yenu uchwara [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kisafishe kutoka jehanamu hii ya dunianikifufue kama ulivyomfufua lazaro kutoka umauti
Wengi tunatamani kitokee sana tushachokaKamuulizeni Mugabe atakupeni siri ya nini kilichomkuta
In God we Trust
Kisafishe kutoka jehanamu hii ya duniani
Hao jamaa kila sehemu wapo.Polisi yao, tume yao, wakurugenzi wao,[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Naona una likes 6 tuKidumu chama cha mapinduzi... Maendeleo Oyeeeee...
cc: ISIS
Mswahili mwenye simple mind ambaye haijui Marekani anadhani kuna Mmarekani anaweza ku-tune Tv kumsikiliza mswahili anaongea. Hii inauma lakini ni pure fact, Wamarekani hawako hivyo.Typical Mmarekani hawezi kukaa hata kumsikiliza Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye Tv yao. Kama walengwa nini sisi Wamatumbi, bora tuongelee huku.Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.
Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira
Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine
Mwanahabari Huru
----------------
View attachment 1002706
Huyu ni pacha wake amekuwa generated maalumu kumnyoosha ISIS walahi
Sent using Jamii Forums mobile app
Toa ya kwako mpya
Hvi umeona kipindi cha hard talk kimeangaliwa na watu wangapi?Mswahili mwenye simple mind ambaye haijui Marekani anadhani kuna Mmarekani anaweza ku-tune Tv kumsikiliza mswahili anaongea. Hii inauma lakini ni pure fact, Wamarekani hawako hivyo.Typical Mmarekani hawezi kukaa hata kumsikiliza Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye Tv yao. Kama walengwa nini sisi Wamatumbi, bora tuongelee huku.
Naongelea promo ya kwenda CNN. Naongelea US.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Naona yanakugonga kunako chupi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Tulia sindano ikuingie.Akishaongea huko tena,tutawasikia tu oooh mara amebanwa na mwandishi.[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Mswahili mwenye simple mind ambaye haijui Marekani anadhani kuna Mmarekani anaweza ku-tune Tv kumsikiliza mswahili anaongea. Hii inauma lakini ni pure fact, Wamarekani hawako hivyo.Typical Mmarekani hawezi kukaa hata kumsikiliza Waziri Mkuu wa Uingereza kwenye Tv yao. Kama walengwa nini sisi Wamatumbi, bora tuongelee huku.
Tutaona unadhani kuna watu hawafatilii?Naongelea promo ya kwenda CNN. Naongelea US.
Wale wote wanasema arudi nina shaka kama hawakuwepo Dodoma siku ile basi walishiriki indirect katika mpango ule.CNN na Aljazillah ndio nani na wana impact gani kwa nchi vitu vingine ni vituko vya karne hatulie harudi jimboni kwake hapo ndio nitamwelewa