Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Huyu jamaa naona kama kuna kitu anakitaka lakini hatakipata. Angefanya analysis kwanza, baada ya kufanya mazungumzo ya hardtalk kitu gani kimebadilika? Je hao watu waliotaka waione serikali mbaya je imekuwa hivyo? Ataenda cnn na aljazeera alafu na huko wakipuuza kama walivyompuuza baada ya hardtalk atafanyaje?...
Tatizo jamaa bado ni mshamba sana. Anafikiri kwenda CNN au Al Jazeera na kuongea kama kibaraka ndio atafanikiwa. Ha ha ha, amuulize Tsvangirai aliyepita mitaa hiyo hiyo huko nyuma alifanikiwa nini.
 
Sasa hivi wameisha weweseka balaa, kutakuwa na vikao vya viongozi wa dini mara kwa mara ili kutafuta huruma, ataanza kuonekana makanisani Kila jumapili via TV maana alikuwa amesitisha kidogo na si ajabu kesho akawa kwa Gwajima, keshokutwa kwa Kakobe, ataanza kazi ya kuzindua na kukata utepe Kila wiki huku kwenye hotuba zake akiomba aombewe, atakuwa anawataka watu wawe Wazalendo waipende nchi, atasema Maendeleo hayana chama tuungane pamoja, akiisha baa ndivyo huwa anakuwa, rejea wakati wa maandalizi ya maandamano ya Ukuta, Rejea wakati wa Mange Kimambi,
 
Sasa hivi wameisha weweseka balaa, kutakuwa na vikao vya viongozi wa dini mara kwa mara ili kutafuta huruma, ataanza kuonekana makanisani Kila jumapili via TV maana alikuwa amesitisha kidogo na si ajabu kesho akawa kwa Gwajima, keshokutwa kwa Kakobe, ataanza kazi ya kuzindua na kukata utepe Kila wiki huku kwenye hotuba zake akiomba aombewe, atakuwa anawataka watu wawe Wazalendo waipende nchi, atasema Maendeleo hayana chama tuungane pamoja, akiisha baa ndivyo huwa anakuwa, rejea wakati wa maandalizi ya maandamano ya Ukuta, Rejea wakati wa Mange Kimambi,
10% ya kwenye nyumba za ibada iende kuchimba visima!
 
Huyu jamaa naona kama kuna kitu anakitaka lakini hatakipata. Angefanya analysis kwanza, baada ya kufanya mazungumzo ya hardtalk kitu gani kimebadilika? Je hao watu waliotaka waione serikali mbaya je imekuwa hivyo? Ataenda cnn na aljazeera alafu na huko wakipuuza kama walivyompuuza baada ya hardtalk atafanyaje? Akimaliza matibabu yake atataka kurudi nyumbani huku akiomba serikali imlinde je serikali ya nani inaweza kumlinda kwa kuichafua?

Sent using Jamii Forums mobile app
wewe siyo French jiite kigogo sambusa tujue moja
 
CNN na Aljazillah ndio nani na wana impact gani kwa nchi vitu vingine ni vituko vya karne hatulie harudi jimboni kwake hapo ndio nitamwelewa
Wewe ni mjinga tu na si kosa lako kosa la wale mliowatuma kumuua Lissu kutofanikiwa kumuuwa mtalijutia atawaumiza pakubwa stay tunes ukiwa shule za kata hutaelewa ila magogoni wanajua impact take na ndio maana wanapiga kelele au hujamsikia msemaji wa serikali?hapo ujue sindano imeingia.ni
 
Imeandikwa hivi
Usiseme uongo
Sasa ndugu yangu ulikuwepo? Jitahidi kuogea yenye uhakika ili usipate laana katika maisha yako
Laana ikupate wewe na jamii yako yote elimu yenu mbovu kabisa wewe ni mtu wa kuhurumiwa tu,kwani mpinzani ni msaliti basi ukielewa hivyo basi mfumo wa vyama vyingi kueleweka tz itachukuwa miaka mingi sana hivi kwa akili vyama pinzani vitaunga mkono chama tawala?
 
Tuna kuombea kila la kheri mheshimiwa. Hata wakivua ubunge wewe utabakia kuwa mbunge wa mioyo yetu.
hivi sky kwenye moyo wako umehifazi watu wangapi Asprin unamuweka wapi hapo kwenye moyo huohuo na huyu mzururzji naye hapo hapo watagombana shauri yako
 
Back
Top Bottom