Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Si ndie aliyeongoza yale maaangamizi risasi kwa TL. Yeye anadhani watu hawajui, hadi picha zipo. Siku ya Siku kila kitu kitakuwa hadharani.

Sent using Jamii Forums mobile app
Imeandikwa hivi
Usiseme uongo
Sasa ndugu yangu ulikuwepo? Jitahidi kuogea yenye uhakika ili usipate laana katika maisha yako
 
matumizi mabaya ya fedha za chama. unless kuna mfadhili wake maalum anayegharamia hizo ziara za kwenye TV mbali mbali ambazo they have very little impact kwenye maisha ya watanzania.
 
Imeandikwa hivi
Usiseme uongo
Sasa ndugu yangu ulikuwepo? Jitahidi kuogea yenye uhakika ili usipate laana katika maisha yako
Huna akili wewe, unaijua laana. Mambo aliongea jiwe wakati anapokea ile rabish report ya madini. Akasema hata jeshini, mtu akionekana yuko kinyume hukumu yake inajulikana. Dk 45 baadae Jiwe na watu wake wanammiminia risasi My TL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna kundi lenye influence wewe acha UZWAZWA! Huyo dikteta angekuwa anaamini hivyo kwamba Watanzania wengi wanamuunga mkono asingehofia kuwepo kwa Tume huru ya uchaguzi na uchaguzi angeruhusu uwe HURU NA HAKI ili hilo kundi kubwa limchague kihalali badala ya kuiba chaguzi kupitia tume FAKE na policcm.

Hata chakubanga anaujua ukweli msikilize hapa.



Kuna kitu unapaswa kujifunza kama umeandika haya kwa dhati ya moyo wako.

Umewahi kujiuliza ni kwa nini mmekuwa mkimuita Rais dikteta lkn kundi lingine lenye influence ktk jamii likimuita mkombozi?

Na hata viongozi wengine serikalini mfano Mawaziri,RCs, DCs etc mmekuwa mkiwaita wajinga vilaza na kila jina baya lkn ndio wanaowaongoza?

Kama ni wajinga ilikuwaje wapate hizo nafasi ilhali nyie werevu mpo?

Kama utaweza kunijibu haya kwa ufasaha bila kuleta ushabiki, sifa, mihemko, au ulevi nitaheshimu sana michango yako hapa jukwaani.

Angalizo majibu yako yasiwe chanzo cha maswali hasi juu yako tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hata mwewe hushinda angani ila jua likizama lazma atue.
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706
Mtasababisha sasa kiitishwe kikao baina ya Mzee Meko na wachawi, maana kikao chake na makuhani itaonekana hakijasaidia

Sent from my TECNO CX Air using Tapatalk
 
Ikishajua?

Nokia ya kitochi yuzingi jamii foramu
Jamaa anatumia nguvu nyingi kuepuka mlolongo wa kesi zinazomsubiri. Anafikiri akifanya mahojiano na hivyo vyombo ndio atachomoka. Ha ha ha. Wangapi wamehojiwa na CNN na Al Jazeera? Swala sio kuhojiwa. Swala ni matokeo ya hayo mahojiano. Kama anafikiri alifanikiwa BBC basi inabidi ajipime.
 
Back
Top Bottom