Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Next stop CNN,uliza kama kuna kichaa ashawahi kukanyaga huko!Jiwe kabanwa pabaya!!!!Hahahahaaaaa!
hivi kwa akili yako unafikiri anachokifanya kinamuathiri nani labda wala hakuna mtu anashtuka aendeleeeee akichoka atarudi watu wanaendelea na kazi zao
 
Tatizo hao ni WANAFIKI na DHAIFU an ndiyo matatizo ya Watanzania wengi kutokuwa wakweli mbele ya muhusika lakini wanalalamika pembeni.

Nchi hii ina matatizo makubwa sana na chanzo ni huyo dikteta kudhani yeye ni Mungu mtu anaweza kufanya vyovyoye atakavyo hata si kwa maslahi ya nchi na hastahili kukosolewa.

Kichaa hana sifa ya kuongoza chochote kile mahali popote pale.
Kuna kitu unapaswa kujifunza kama umeandika haya kwa dhati ya moyo wako.

Umewahi kujiuliza ni kwa nini mmekuwa mkimuita Rais dikteta lkn kundi lingine lenye influence ktk jamii likimuita mkombozi?

Na hata viongozi wengine serikalini mfano Mawaziri,RCs, DCs etc mmekuwa mkiwaita wajinga vilaza na kila jina baya lkn ndio wanaowaongoza?

Kama ni wajinga ilikuwaje wapate hizo nafasi ilhali nyie werevu mpo?

Kama utaweza kunijibu haya kwa ufasaha bila kuleta ushabiki, sifa, mihemko, au ulevi nitaheshimu sana michango yako hapa jukwaani.

Angalizo majibu yako yasiwe chanzo cha maswali hasi juu yako tena.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Let me tell you one thing which makes you loose.

Leo viongozi wa dini wote walikuwa Ikulu wanampigia chapuo Rais kuwa bado miaka 7.

Nimegundua kweli ninyi mnaolalamikia kuminywa kwa demokrasia mnafanya utukutu wa kisiasa ili kumtoa relini Rais. Amewastukia na kaeleza vzr kwa ufasaha dunia nzima imeona viongozi wa dini wakiitikia kwa vichwa.

Tundu nae alishindwa kutoa evidence kwa Sackur Sasa atakae watetea nyie ni nani?.

La msingi tutakuwa na kampeni za serikali za mitaa soon na next year uchaguzi mkuu sioni wapi mtatokea sbb wazazi wetu kiroho wote wapo na Rais wakimuita majina mbalimbali ya Biblia na Koran.



Sent using Jamii Forums mobile app
Wako wamgapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
CNN na Aljazillah ndio nani na wana impact gani kwa nchi vitu vingine ni vituko vya karne hatulie harudi jimboni kwake hapo ndio nitamwelewa
Nitkuambia kwa muhtasari:Nchi zao hutupatia kondomu,ARVs na huchangia bajeti za maendeleo kwa zaidi ya asilimia 55.Umepata picha?Kwa hiyo mbwa wa mfalme umuheshimu(Aljazeera muweke kando.kidogo ingwa Arabs hutoa misaada).
 
sasa hiyo itamsaidia nini?
Magufuri anaendelea kupiga kazi, ndo kwanza leo ameteta na viongozi wa dini
ushauri wa makonda ni muhimu, ni vizuri aanzie Milembe kwanza, Inawezekana akili yake imehama!
Si ndie aliyeongoza yale maaangamizi risasi kwa TL. Yeye anadhani watu hawajui, hadi picha zipo. Siku ya Siku kila kitu kitakuwa hadharani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lissu huku CAG anatolewa kazini kwa kufanya kazi yake na tetesi ni kuwa CAG mpya anatoka Chato.

Huku sisi ni wazima na ukishamsifu mtukufu hakuna mwenye wasiwasi na uraia wako.

Tuna kuombea kila la kheri mheshimiwa. Hata wakivua ubunge wewe utabakia kuwa mbunge wa mioyo yetu.
 
Mhe. Tundu Antipas Mugwai Lissu amesema Move ya pili itakua ni CNN na Aljazira kwa Maongezi zaidi maana amepata mwaliko kwenye vituo vya luninga zaidi ya 22 mpaka sasa hivi.

Kituo kinachofuata kufanya maongezi nacho ni CNN na Baadae ni Aljazira

Tutaendelea kuwahabarisha tarehe na mda na hivyo vituo vingine

Mwanahabari Huru

----------------
View attachment 1002706
Anazidi kujimaliza tu.
 
Back
Top Bottom