Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Namshaur akirud tz hakika awe na ulinz thabit make sizan kama Jiwe atamwacha salama! God bless TL
 
ningekuwa najua wangeshakamatwa hakuna awajuae waache vyombo vya dola viwatafute watapatikana tu
Hata hivyo vikao vya JPM, inaonekana kuna mgomo wa chini kwa chini.

Viongozi wale wakuu wa taasisi za dini, hawakuhudhuria. Waliohudhuria, wengi ni wa taasisi ndogo ndogo za kidini au viongozi wadogo wa kidini kutoka taasisi kubwa za dini. Imeshangaza sana.

Kwenye wadau wa madini, wachimbaji wakubwa hawakuhudhuria. Wengi waliohudhuria ni wale wachimbaji wa kuchokonoa kwa sululu.

Baada ya hao, sijui atawaalika nani - labda akina Lyatonga, Cheyo, and the like, halafu itatangazwa amekutana na viongozi wa vyama vya siasa.

Sioni kama kuna mafanikio yaliyotarahiwa katika mikutano hii. Yetu macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
Nisaidie viongozi wakubwa wa dini ambao hawajahudhuria.
Dini kubwa mbili ukristo na uislamu
Uislamu- Mufti alikuwepo
Ukristo thehebu kubwa RC - rais wa TEC na Kardinali Pengo walikuwepo.
Nisaidie hao viongozi wa kuu wa taasisi za dini ambao hawakuwepo huenda sikuona vyema.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kidumu chama cha mapinduzi... Maendeleo Oyeeeee...
Kigumu!
"Maendeleo hayana chama" wakati huo huo unawarubuni wabunge wa chama kingine wahamie chamani ili waweze kupatiwa 'maendeleo' katika majimbo yao. Wale wa majimbo ya chenyewe (kigumu) watoto bado wanakalia mawe madarasani!
"Msema kweli mpenzi wa Mungu", ukiambiwa ukweli unaagiza pyu pyu pyu. Kwa hivyo katika jamii ya WaTz ni mtu mmoja tu aliyebarikiwa kusema 'ukweli'. Hii nchi inayo safari ndefu. Na kama alivyonena GU, tumerudi nyuma miaka 50.
 
Back
Top Bottom