Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Tundu Lissu: Tukutane CNN na Aljazeera

Kesi kila siku ndio njia yenu mnayoitumia badala ya hoja.
Jamaa anatumia nguvu nyingi kuepuka mlolongo wa kesi zinazomsubiri. Anafikiri akifanya mahojiano na hivyo vyombo ndio atachomoka. Ha ha ha. Wangapi wamehojiwa na CNN na Al Jazeera? Swala sio kuhojiwa. Swala ni matokeo ya hayo mahojiano. Kama anafikiri alifanikiwa BBC basi inabidi ajipime.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Presha inapanda,presha inashuka

Kwa style hii ya Mkulu ya vikao na wadau mbalimbali,Tundu atajikuta yuko pekee na wazungu siku akiamua kuongea na wapinzani ukumbi wa Mwl Nyerere
Hata hivyo vikao vya JPM, inaonekana kuna mgomo wa chini kwa chini.

Viongozi wale wakuu wa taasisi za dini, hawakuhudhuria. Waliohudhuria, wengi ni wa taasisi ndogo ndogo za kidini au viongozi wadogo wa kidini kutoka taasisi kubwa za dini. Imeshangaza sana.

Kwenye wadau wa madini, wachimbaji wakubwa hawakuhudhuria. Wengi waliohudhuria ni wale wachimbaji wa kuchokonoa kwa sululu.

Baada ya hao, sijui atawaalika nani - labda akina Lyatonga, Cheyo, and the like, halafu itatangazwa amekutana na viongozi wa vyama vya siasa.

Sioni kama kuna mafanikio yaliyotarahiwa katika mikutano hii. Yetu macho.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umesahau ndani ya ccm tayari kuna walio kwisha kujitangaza kuwa wao ni vichaaa?
siyo vichaa wote wanavua nguo barabarani wengine wanazunguuka tuuuu kuongea maneno yasiyo na maana kwa kufikiri wanamkomoa fulani lazima apimwe akili siyo bure kuna zingine zilidondokea dom

In God we Trust
 
Mtanyooka mwaka huu lazima mjutie kitendo chenu cha kinyama
ili iweje wakijua tena siyo uovu wa nchi ni baadhi ya watu waovu waliompiga risasi ukisema uovu wa nchi ni pamoja na wewe uliyeandika nimuovu na ni adui wa lissu

In God we Trust
 
Back
Top Bottom