Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 3,992
- 6,290
Kama ni kweli ilikuaje basi watu wa Kimara kuvunjiwa nyumba zao lkn zoezi lilipofikia huko kanda pendwa akasitisha zoezi eti MSIWAVUNJIE HAWA MAANA NDIYO WALIONIPA KURA?? Hilo pekee halitasahaulika kwa wale wote waliopatwa na madhara yale ya kibaguzi.Eti Dunia nzima ifahamu? WTF, Dunia inafahamu kuhusu Raisi wa JMTZ Magufuli tu na siyo Esta Bulaya au sijui Zito Kabwe, ...
Hivi sasa yuko nyumbani kwake kajichimbia huko sababu hizo hizo mnazopigia kelelw kwa Wabunge wa Chadema.
Sent using Jamii Forums mobile app