Tundu Lissu: Spika Ndugai kati ya Wabunge wetu na Rais Magufuli nani Mtoro?

Lissu amekuwa brainwashed,

Hivi Chadema huwa wanawaza kabla ya kuchukua uamuzi?

Wanawezaje kimchagua Tundu lissu kuwa makamu mwenyekiti wakati anaishi kwa Mabeberu ? Hii Sijawahi kuona duniani

Inaamana ndani ya Chadema waliopo Tanzania Hakuna anayeweza kuwa makamu mwenyekiti ? Hivi hamjui kuwa lissu anagundu anakiharibu chama ?
Huna jipya wewe tulia kama MAMA yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sawa future presidaa tumekuelewa
Waheshimiwa Wabunge wetu. Nimemsikiliza Spika Ndugai akiweka msimamo wake kuhusu hatua yenu ya kuondoka Bungeni kwa muda.

Spika Ndugai anastahili kujibiwa rasmi na hadharani, na napendekeza yafuatayo kuwa sehemu ya majibu yenu.

1. Je, Wabunge wa CHADEMA ni watoro?

Kwa kadri ninavyofuatilia mijadala ya Bunge, ni Wabunge wa CHADEMA peke yenu ambao tangu mwanzo mmedai Wabunge wote wapimwe ili kuona kama kuna yeyote mwenye maambukizi ya coronavirus. Nimemsikia KUB akisema hivyo mara kadhaa. Nimemsikia Mh. Goddie Lema akisisitiza umuhimu wa Wabunge kupimwa, n.k.

Maombi na madai yenu ya kupimwa yamepuuzwa na uongozi wa Bunge na wa Serikali na hadi sasa hakuna Mbunge hata mmoja aliyepimwa. Ushahidi wa hili ni kauli yake mwenyewe Spika Ndugai leo kwamba mkapimwe kwanza ndio mruhusiwe kurudi Bungeni. Maana yake ni kwamba anajua hamjapimwa.

Tayari kuna Wabunge watatu wameshakufa kwa coronavirus. Gertrude Lwakatare, Richard Ndassa na Dr. Augustine Mahiga ni wahanga wa coronavirus. Kama Serikali ya Magufuli na Spika Ndugai wanabisha basi waseme kwa nini wamewazika Waheshimiwa hawa kwa taratibu za mazishi ya coronavirus.

Baada ya vifo vya Wabunge watatu na Bunge kukataa kuchukua hatua za kuwapima Wabunge kama inavyotakiwa na miongozo ya kupambana na coronavirus ya WHO, n.k., Wabunge wa CHADEMA wamechukua hatua za kujilinda wao na wale walio karibu nao. Na wametangaza hivyo hadharani. Utoro wao unaanzia wapi???

2. Kati ya Wabunge wa CHADEMA na Rais Magufuli mtoro ni nani?

Kama, kwa kauli ya Spika Ndugai, Wabunge wa CHADEMA ni watoro, basi mtoro wa kwanza ni Rais John Pombe Magufuli. Na kama Wabunge wa CHADEMA ni wezi kwa kuchukua posho za vikao na kuondoka Bungeni, basi mwizi wa kwanza ni Rais John Pombe Magufuli.

Tangu janga la coronavirus lilipoanza kuwa kubwa hapa nchini, Rais Magufuli ametoroka Ikulu na kujificha nyumbani kwake Chato. Sheria ya Presidential Affairs Act ya mwaka 1962 inamlazimu Rais wa Tanzania kufanyia shughuli rasmi za Rais Ikulu au katika makazi rasmi ya Rais nje ya Ikulu. Kila Mkoa na kila Wilaya ina makazi rasmi ya Rais. Chato sio makazi rasmi ya Rais Magufuli, kama ambavyo Msoga haikuwa makazi rasmi ya Rais Kikwete; au Masasi au Lushoto haikuwa makazi rasmi ya Rais Mkapa na Butiama au Msasani haikuwa makazi rasmi ya Mwalimu Nyerere.

Chato na Msoga na Masasi/Lushoto na Butiama ni makazi binafsi ya Rais na shughuli rasmi za Serikali hazipaswi kufanyiwa kwenye makazi hayo. Kwa hiyo kama Wabunge wa CHADEMA ni watoro na wezi, Rais Magufuli naye ni mtoro na mwizi. Hakuwezi kukawa na ubaguzi kwenye jambo hili.

Na kama suala ni kurudisha pesa kwa sababu ya kutokuwepo Bungeni kwa sababu halali kama hii ya kujikinga na coronavirus, basi na Rais Magufuli naye arudishe pesa zote alizopokea au kupewa kwa kipindi chote ambacho ametorokea Chato. Nasisitiza hakuwezi kukawa na kauli mbili tofauti juu ya suala hili.

3. Je, Wabunge wa CHADEMA ni wezi kweli?

Mwizi ni yule anayechukua mali ya mwingine bila ridhaa yake na bila haki ya kufanya hivyo. Hii ndio tafsiri rahisi ya wizi kwa mujibu wa sheria zetu.

Je, Wabunge wa CHADEMA walichukua pesa bila ridhaa ya Bunge na hawakuwa na haki nazo?

Posho na mishahara ya Wabunge huingizwa kwenye akaunti zao na Bunge lenyewe bila hata Wabunge wenyewe kuziomba au kujua. Hawa wa CHADEMA wanakuwaje wezi kwa kuingiziwa posho kwenye akaunti zao na uongozi wa Bunge?

Na je, sio halali kupewa posho za kujikimu??? Kuna posho za aina mbili zinazotolewa kwa Wabunge. Posho za kujikimu (per diem) na posho za vikao (sitting allowance).

Kila Mbunge aliyeko Dodoma analipwa posho za kujikimu, hata kama haingii Bungeni. Kama Spika Ndugai anabishia hili aseme wazi wazi na hadharani.

Posho za vikao zinalipwa kwa kuhudhuria Bungeni, na hulipwa baada, sio kabla, ya mahudhurio ya vikao. Kama Spika Ndugai anabishia hili aseme wazi wazi na hadharani pia.

Wabunge wa CHADEMA wamelipwa per diem kwa sababu wako Dodoma kwa ajili ya vikao vya Bunge. Wangekuwa wamelazwa hospitalini bado wangelipwa per diem. Wako in isolation kujikinga na coronavirus na kwa hiyo wanastahili kulipwa per diem.

Sijamsikia Spika Ndugai akizungumzia malipo ya sitting allowance. Kama Wabunge wa CHADEMA wamelipwa sitting allowance na hawajahudhuria vikao vya Bunge basi aseme ili tuulize wamelipwaje kabla ya mahudhurio ya vikao??? Hii ni kwa sababu hawapaswi kulipwa sitting allowance kama hawajahudhuria vikao vya Bunge.

4. Tabia ya Spika Ndugai kutaja taja hadharani malipo ya Wabunge wa upinzani wenye ugomvi naye au na Serikali ya Magufuli.

Hii sio mara ya kwanza kwa Spika Ndugai kutaja mamilioni waliyolipwa Wabunge wa CHADEMA wenye ugomvi naye au na Serikali ya Magufuli. Hatujawahi kuona tabia hii ya hovyo kwa miaka yote ya kabla Rais Magufuli kuingia madarakani.

Spika Ndugai hajawahi hata mara moja kutaja pesa anazolipwa yeye mwenyewe au Wabunge wa CCM. Je, ina maana ni Wabunge wa CHADEMA peke yao ndio hulipwa mamilioni haya???

Spika Ndugai mwenyewe amelipwa mabilioni mangapi kwa sababu hii au ile??? Mbona hajawahi kuzungumzia mabilioni aliyolipwa kwa ajili ya matibabu yake India ambayo hata CAG aliyahoji kwenye taarifa yake ya mwaka jana??? Hivi mwizi ni nani hasa kati ya Wabunge wa CHADEMA na Spika Ndugai???

Spika Ndugai anataka watu wasiojua waamini kwamba Wabunge wa CHADEMA wamelipwa pesa hizo bila halali yoyote. Kama hiyo ni kweli, je, kwa nini Bunge linawalipa pesa hizo haramu???

5. Spika Ndugai ametishia kuwachukulia hatua nyingine ambazo hajazitaja lakini amesema hiki ni kipindi cha mwisho cha Bunge. Kama hamjaelewa, hapa anamaanisha kwamba watazuia malipo ya kiinua mgongo cha Wabunge wa CHADEMA.

Hii ni blackmail ya moja kwa moja. Kiinua mgongo ni haki ya kisheria ya kila Mbunge aliyetumikia kipindi fulani cha Ubunge. Kiinua mgongo sio fadhila ya Spika Ndugai au ya Kuhani Mkuu kwa Wabunge wenye tabia njema kwao. Ni haki ya Wabunge wote. Asiwatishe!!!

6. Ushauri wangu kwenu ni huu:

a. Msirudi Bungeni hadi muda wa kujitenga kwa hiari wa siku 14 utakapoisha. Baada ya muda huo kwisha rudini Bungeni wakawazuie kuingia ili dunia nzima ifahamu jinsi walivyo watu wa hovyo.

b. Msirudishe posho za kujikimu mlizolipwa kwa sababu mko kwenye eneo la kibunge Dodoma na mko nje ya Bunge kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya coronavirus. Hivi ndivyo inavyoshauriwa na wataalamu wa afya na WHO. Posho hizo ni haki yenu.

Aidha, kulipa madeni ya Bunge sio, na haijawahi kuwa, sharti la Mbunge kuruhusiwa kuingia bungeni. Kama wanafikiri wanawadai basi wawakate kwenye mishahara, lakini sio kuwazuia kuingia Bungeni.

c. Kuhusu kutishiwa kuripotiwa polisi, hii haitakuwa ajabu kwa nchi yetu katika zama hizi za Tanzania ya Magufuli.

Kumbukeni tu kwamba hamjafanya kosa lolote lile la jinai kwa mujibu wa sheria za nchi yetu. Kama Jeshi la Polisi litawakamata, haitakuwa ni kwa sababu ya kufanya kosa lolote lile bali ni kwa sababu hili limekuwa jeshi linalofanya kazi zake kwa 'maelekezo kutoka juu.'

d. Kuhusu kupimwa coronavirus. Muulizeni Spika Ndugai au Waziri wa Afya awaelekeze mahali palipotengwa kwa ajili ya kupimia coronavirus.

Na sisitizeni hadharani kwamba kila Mbunge na mtumishi wa Bunge akapimwe kama utaratibu wa WHO unavyosema.

Sio Wabunge wa CHADEMA peke yao wanaopaswa kupimwa; ni Wabunge wote. Marehemu Lwakatare, Ndassa na Dr. Mahiga hawakuwa Wabunge wa CHADEMA, walikuwa ni wa CCM. Kwa hiyo kupimwa kunawahusu Wabunge wote.

e. Kurudi Bungeni kwa sababu ya vitisho hivi haramu ni kupoteza credibility yote mliyo nayo. Ni kuonyesha Watanzania kwamba mnachohofia sio afya wala maisha yenu au ya Watanzania bali ni pesa zenu tu.

Simameni imara. Msikubali vitisho hivi vya kijinga!!!

Its not over until its over...
 
Waheshimiwa Wabunge wetu. Nimemsikiliza Spika Ndugai akiweka msimamo wake kuhusu hatua yenu ya kuondoka Bungeni kwa muda.

Spika Ndugai anastahili kujibiwa rasmi na hadharani, na napendekeza yafuatayo kuwa sehemu ya majibu yenu.

1. Je, Wabunge wa CHADEMA ni watoro?

Kwa kadri ninavyofuatilia mijadala ya Bunge, ni Wabunge wa CHADEMA peke yenu ambao tangu mwanzo mmedai Wabunge wote wapimwe ili kuona kama kuna yeyote mwenye maambukizi ya coronavirus. Nimemsikia KUB akisema hivyo mara kadhaa. Nimemsikia Mh. Goddie Lema akisisitiza umuhimu wa Wabunge kupimwa, n.k.

Maombi na madai yenu ya kupimwa yamepuuzwa na uongozi wa Bunge na wa Serikali na hadi sasa hakuna Mbunge hata mmoja aliyepimwa. Ushahidi wa hili ni kauli yake mwenyewe Spika Ndugai leo kwamba mkapimwe kwanza ndio mruhusiwe kurudi Bungeni. Maana yake ni kwamba anajua hamjapimwa.

Tayari kuna Wabunge watatu wameshakufa kwa coronavirus. Gertrude Lwakatare, Richard Ndassa na Dr. Augustine Mahiga ni wahanga wa coronavirus. Kama Serikali ya Magufuli na Spika Ndugai wanabisha basi waseme kwa nini wamewazika Waheshimiwa hawa kwa taratibu za mazishi ya coronavirus.

Baada ya vifo vya Wabunge watatu na Bunge kukataa kuchukua hatua za kuwapima Wabunge kama inavyotakiwa na miongozo ya kupambana na coronavirus ya WHO, n.k., Wabunge wa CHADEMA wamechukua hatua za kujilinda wao na wale walio karibu nao. Na wametangaza hivyo hadharani. Utoro wao unaanzia wapi???

2. Kati ya Wabunge wa CHADEMA na Rais Magufuli mtoro ni nani?

Kama, kwa kauli ya Spika Ndugai, Wabunge wa CHADEMA ni watoro, basi mtoro wa kwanza ni Rais John Pombe Magufuli. Na kama Wabunge wa CHADEMA ni wezi kwa kuchukua posho za vikao na kuondoka Bungeni, basi mwizi wa kwanza ni Rais John Pombe Magufuli.

Tangu janga la coronavirus lilipoanza kuwa kubwa hapa nchini, Rais Magufuli ametoroka Ikulu na kujificha nyumbani kwake Chato. Sheria ya Presidential Affairs Act ya mwaka 1962 inamlazimu Rais wa Tanzania kufanyia shughuli rasmi za Rais Ikulu au katika makazi rasmi ya Rais nje ya Ikulu. Kila Mkoa na kila Wilaya ina makazi rasmi ya Rais. Chato sio makazi rasmi ya Rais Magufuli, kama ambavyo Msoga haikuwa makazi rasmi ya Rais Kikwete; au Masasi au Lushoto haikuwa makazi rasmi ya Rais Mkapa na Butiama au Msasani haikuwa makazi rasmi ya Mwalimu Nyerere.

Chato na Msoga na Masasi/Lushoto na Butiama ni makazi binafsi ya Rais na shughuli rasmi za Serikali hazipaswi kufanyiwa kwenye makazi hayo. Kwa hiyo kama Wabunge wa CHADEMA ni watoro na wezi, Rais Magufuli naye ni mtoro na mwizi. Hakuwezi kukawa na ubaguzi kwenye jambo hili.

Na kama suala ni kurudisha pesa kwa sababu ya kutokuwepo Bungeni kwa sababu halali kama hii ya kujikinga na coronavirus, basi na Rais Magufuli naye arudishe pesa zote alizopokea au kupewa kwa kipindi chote ambacho ametorokea Chato. Nasisitiza hakuwezi kukawa na kauli mbili tofauti juu ya suala hili.

3. Je, Wabunge wa CHADEMA ni wezi kweli?

Mwizi ni yule anayechukua mali ya mwingine bila ridhaa yake na bila haki ya kufanya hivyo. Hii ndio tafsiri rahisi ya wizi kwa mujibu wa sheria zetu.

Je, Wabunge wa CHADEMA walichukua pesa bila ridhaa ya Bunge na hawakuwa na haki nazo?

Posho na mishahara ya Wabunge huingizwa kwenye akaunti zao na Bunge lenyewe bila hata Wabunge wenyewe kuziomba au kujua. Hawa wa CHADEMA wanakuwaje wezi kwa kuingiziwa posho kwenye akaunti zao na uongozi wa Bunge?

Na je, sio halali kupewa posho za kujikimu??? Kuna posho za aina mbili zinazotolewa kwa Wabunge. Posho za kujikimu (per diem) na posho za vikao (sitting allowance).

Kila Mbunge aliyeko Dodoma analipwa posho za kujikimu, hata kama haingii Bungeni. Kama Spika Ndugai anabishia hili aseme wazi wazi na hadharani.

Posho za vikao zinalipwa kwa kuhudhuria Bungeni, na hulipwa baada, sio kabla, ya mahudhurio ya vikao. Kama Spika Ndugai anabishia hili aseme wazi wazi na hadharani pia.

Wabunge wa CHADEMA wamelipwa per diem kwa sababu wako Dodoma kwa ajili ya vikao vya Bunge. Wangekuwa wamelazwa hospitalini bado wangelipwa per diem. Wako in isolation kujikinga na coronavirus na kwa hiyo wanastahili kulipwa per diem.

Sijamsikia Spika Ndugai akizungumzia malipo ya sitting allowance. Kama Wabunge wa CHADEMA wamelipwa sitting allowance na hawajahudhuria vikao vya Bunge basi aseme ili tuulize wamelipwaje kabla ya mahudhurio ya vikao??? Hii ni kwa sababu hawapaswi kulipwa sitting allowance kama hawajahudhuria vikao vya Bunge.

4. Tabia ya Spika Ndugai kutaja taja hadharani malipo ya Wabunge wa upinzani wenye ugomvi naye au na Serikali ya Magufuli.

Hii sio mara ya kwanza kwa Spika Ndugai kutaja mamilioni waliyolipwa Wabunge wa CHADEMA wenye ugomvi naye au na Serikali ya Magufuli. Hatujawahi kuona tabia hii ya hovyo kwa miaka yote ya kabla Rais Magufuli kuingia madarakani.

Spika Ndugai hajawahi hata mara moja kutaja pesa anazolipwa yeye mwenyewe au Wabunge wa CCM. Je, ina maana ni Wabunge wa CHADEMA peke yao ndio hulipwa mamilioni haya???

Spika Ndugai mwenyewe amelipwa mabilioni mangapi kwa sababu hii au ile??? Mbona hajawahi kuzungumzia mabilioni aliyolipwa kwa ajili ya matibabu yake India ambayo hata CAG aliyahoji kwenye taarifa yake ya mwaka jana??? Hivi mwizi ni nani hasa kati ya Wabunge wa CHADEMA na Spika Ndugai???

Spika Ndugai anataka watu wasiojua waamini kwamba Wabunge wa CHADEMA wamelipwa pesa hizo bila halali yoyote. Kama hiyo ni kweli, je, kwa nini Bunge linawalipa pesa hizo haramu???

5. Spika Ndugai ametishia kuwachukulia hatua nyingine ambazo hajazitaja lakini amesema hiki ni kipindi cha mwisho cha Bunge. Kama hamjaelewa, hapa anamaanisha kwamba watazuia malipo ya kiinua mgongo cha Wabunge wa CHADEMA.

Hii ni blackmail ya moja kwa moja. Kiinua mgongo ni haki ya kisheria ya kila Mbunge aliyetumikia kipindi fulani cha Ubunge. Kiinua mgongo sio fadhila ya Spika Ndugai au ya Kuhani Mkuu kwa Wabunge wenye tabia njema kwao. Ni haki ya Wabunge wote. Asiwatishe!!!

6. Ushauri wangu kwenu ni huu:

a. Msirudi Bungeni hadi muda wa kujitenga kwa hiari wa siku 14 utakapoisha. Baada ya muda huo kwisha rudini Bungeni wakawazuie kuingia ili dunia nzima ifahamu jinsi walivyo watu wa hovyo.

b. Msirudishe posho za kujikimu mlizolipwa kwa sababu mko kwenye eneo la kibunge Dodoma na mko nje ya Bunge kwa ajili ya kujikinga na maambukizi ya coronavirus. Hivi ndivyo inavyoshauriwa na wataalamu wa afya na WHO. Posho hizo ni haki yenu.

Aidha, kulipa madeni ya Bunge sio, na haijawahi kuwa, sharti la Mbunge kuruhusiwa kuingia bungeni. Kama wanafikiri wanawadai basi wawakate kwenye mishahara, lakini sio kuwazuia kuingia Bungeni.

c. Kuhusu kutishiwa kuripotiwa polisi, hii haitakuwa ajabu kwa nchi yetu katika zama hizi za Tanzania ya Magufuli.

Kumbukeni tu kwamba hamjafanya kosa lolote lile la jinai kwa mujibu wa sheria za nchi yetu. Kama Jeshi la Polisi litawakamata, haitakuwa ni kwa sababu ya kufanya kosa lolote lile bali ni kwa sababu hili limekuwa jeshi linalofanya kazi zake kwa 'maelekezo kutoka juu.'

d. Kuhusu kupimwa coronavirus. Muulizeni Spika Ndugai au Waziri wa Afya awaelekeze mahali palipotengwa kwa ajili ya kupimia coronavirus.

Na sisitizeni hadharani kwamba kila Mbunge na mtumishi wa Bunge akapimwe kama utaratibu wa WHO unavyosema.

Sio Wabunge wa CHADEMA peke yao wanaopaswa kupimwa; ni Wabunge wote. Marehemu Lwakatare, Ndassa na Dr. Mahiga hawakuwa Wabunge wa CHADEMA, walikuwa ni wa CCM. Kwa hiyo kupimwa kunawahusu Wabunge wote.

e. Kurudi Bungeni kwa sababu ya vitisho hivi haramu ni kupoteza credibility yote mliyo nayo. Ni kuonyesha Watanzania kwamba mnachohofia sio afya wala maisha yenu au ya Watanzania bali ni pesa zenu tu.

Simameni imara. Msikubali vitisho hivi vya kijinga!!!
Huruma Shaidi anakuhiraji huku akulime nyundo hizi perepete nyingine hazikuhusu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
THE PRESIDENTIAL AFFAIRS ACT, Cap. 9 (RE: 2002)


An Act to provide for certain matters relating to the functions and offices of the President, Vice-President and the Prime Minister.

[9th December, 1962]
C.A. Act No. 4 of 1962
R.L. Cap. 502
Acts Nos.
10
of 1980
26
of 1980
10
of 2001

PART I: PRELIMINARY PROVISIONS
(ss 1-2)
1. Short title
This Act may be cited as the Presidential Affairs Act.

1A. Interpretation
In this Act unless the context requires otherwise–
"President" means the President of the United Republic;
"Vice-President" means the Vice-President of the United Republic;
"Prime Minister" means the Prime Minister of the United Republic;
"household" means a fully furnished house, outbuildings and surrounding land that is used as a dwelling house and includes bedding, cooking, laundry and other domestic equipment necessary for the day to day use.

PART II: PRESIDENTIAL FUNCTIONS AND AFFAIRS (ss 3-5)
2. Signification of orders

(1) Whereby or under any written law, other than the Constitution, any power, duty or function is conferred or imposed on, or is vested in the President, the exercise of such power or the performance of such duty or function by the President may, unless a contrary intention appears, be signified under the hand of a Minister, a Deputy Minister or a Permanent Secretary:
Provided that nothing in this section shall apply to the power of the President to make proclamations or shall restrict the manner in which the power of the President in relation to the executive functions of the Republic, other than any such function which is conferred by any written law, may be exercised through officers in the service of the Republic subordinate to him.

3. Advisory Committee on the Prerogative of Mercy
(1) There shall be an Advisory Committee on the Prerogative of Mercy which shall consist of–
(a) a Minister appointed by the President;
(b) the Attorney-General; and
(c) not less than three nor more than five other members appointed by the President, and the President shall preside at the meetings of the Committee.
(2) The President may appoint different Ministers to be members of the Advisory Committee in relation to persons convicted by a civil court and persons convicted by a court-martial.
(3) Where any person has been sentenced to death (otherwise than by a court-martial) for any offence, the President shall cause a written report of the case from the trial judge or magistrate, together with such other information derived from the record of the case or elsewhere as he may require, to be considered at a meeting of the Advisory Committee; and after obtaining the advice of the Committee, the President shall decide in his own deliberate judgement whether to exercise any of his powers under section 45 of the Constitution.
(4) the President may consult with the Advisory Committee before exercising any of his powers under section 45 of the Constitution in any case not falling within subsection (3) of this section.
(5) Subject to any directions of the President, the Advisory Committee may regulate its own procedure.

4. Honours and awards
The President may institute and confer honours, dignities and awards.

PART III: LEGAL PROCEEDINGS (ss 6-10)

5. Civil proceedings in High Court only

No civil proceedings which may be instituted against the President shall be instituted in any court other than the High Court.

6. Civil proceedings in personal capacity
(1) Where any person proposes to institute any proceedings against the President as are referred to in subsection (2) of section 46 of the Constitution–
(a) the notice of proceedings referred to therein shall be accompanied by the plaint;
(b) the notice and plaint shall be delivered to the Chief Secretary or to a Permanent or Private Secretary to the President, or sent by prepaid registered post to the Chief Secretary at the State House.
(2) Where any such civil proceedings against the President as are referred to in subsection (2) of section 46 of the Constitution are instituted and the Court is satisfied that the plaintiff would, but for this subsection, be entitled to any order, judgement or decree or other relief, no order, judgement, decree or relief, other than by way of a declaratory order, judgement or decree shall be awarded against the President:
Provided that if any subsisting order, judgement or decree is not satisfied after the defendant has ceased to hold the office of President, the plaintiff may, within ninety days of the defendant ceasing to hold office as President, apply to the High Court for such order, judgement or decree as would, but for the provisions of this subsection, have issued in the original proceedings, and the Court shall make such order, judgement or decree as in the circumstances is just and reasonable.

7. Other civil proceedings
(1) All process in any legal proceedings against the President, other than those referred to in subsection (2) of section 46 of the Constitution, shall be delivered to or served on the Attorney-General.
(2) Where, in any proceedings to which this section refers the Court is satisfied that the plaintiff would, but for this subsection, be entitled to any order, judgement, decree or other relief, no order, judgement, decree or relief, other than by way of a declaratory order, judgement or decree, shall be awarded against the President.

8. Immunity from arrest and from process to compel appearance of President
(1) The President shall be immune from arrest.
(2) Subject to the provisions of subsection (3), no process shall be issued by any court or other person or authority empowered to issue process in that behalf–
(a) requiring or compelling the personal appearance or attendance of the President in any capacity; or
(b) requiring or compelling the President to produce any person or thing.
(3) Where a party to any proceedings in any court or before some other person or authority empowered to issue process in that behalf, applies for any process requiring or compelling the appearance of the President as a witness or requiring or compelling the President to produce any person or thing, the court or other person or authority may if, but for this section, it would have issued such process, notify the President of the application, but shall not make any other order or issue any other process on such application.
9. Service of process generally in State House and other official residence
(1) No legal process shall be served or executed within the State House, its lodges or grounds or, while he is resident therein, within other official residences of the President except by or under the directions of the Chief Secretary or a Permanent or Private Secretary to the President; and the Chief Secretary and Permanent or Private Secretary shall, when requested by a court to assist in the service or execution of any such process, give all reasonable and necessary assistance.
(2) No local government authority or public utility shall have any jurisdiction or power in regard to any matter or thing relating to the State House, its lodges or grounds or other official residences of the President.

PART IV: THE HOUSEHOLD OF THE PRESIDENT, VICE-PRESIDENT AND THE PRIME MINISTER (ss 11-14)

10. Expenses of President's household

There shall, in respect of each financial year, be charged on and paid out of the Consolidated Fund such sum of money as may be certified by the Treasury as being the sum required for and in respect of the salaries, allowances and expenses of the President's household and the upkeep of the State House and other official residences of the President.

10A. Expenses for the Vice-President's Household
There shall, in respect of each financial year, be charged on and paid out of the Consolidated Fund such sum of money as may be certified by the Paymaster-General as being the sum required for and in respect of expenses of the Vice-President's household and the upkeep of the Vice-President's house, lodges and grounds and other official residences of the Vice-President.

10B. Expenses for Prime Minister's Household
There shall, in respect of each financial year, be charged on and paid out of the consolidated Fund such sum of money as may be certified by the Paymaster-General as being the sum required for and in respect of expenses of the Prime Minister's household and the upkeep of the Prime Minister's house, lodges and grounds and other official residences of the Prime Minister.

11. Amendment of R.L. Cap. 1
[Repeals section 21(1) of R.L. Cap 1.]
Andikeni kwa kimwela bana hicho kiburushi kigumu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe, Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.

taratibu nizip za karatni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tundu acha kutetea utapeli, wanalipwa posho za kujikimu ili kuwawezesha kuhudhuria vikao vya bunge na si vinginevyo. Kujiweka karantini kuna taratibu zake na si mihemko ya Mbowe, Msigwa, Zitto wamekiri kuwa wapo Dar. Huu utapeli hata wewe uliutumia kukaa ubelgiji huku ukidai kulipwa stahiki za ubunge.
Your brain is too cheap to understand the real meaning of the article .
Wewe endlea kuimba taarabu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Eti Dunia nzima ifahamu? WTF, Dunia inafahamu kuhusu Raisi wa JMTZ Magufuli tu na siyo Esta Bulaya au sijui Zito Kabwe, ...
Kwa taarifa yako dunia nzima ina mshangaa Rais wa Tanzania. Inamshangaa mtu huyu hajawahi kutilia wasiwasi vipimo vya magonjwa mengine kama malaria MRD nk yeye anashupalia vipimo vya Corona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dunia nzima inafahamu pia kama chato ipo ndani ya Tanzania... hata afanye kazi chato ama wapi.. mradi yupo Tanzania, anatuhudumia wa Tanzania.. sisi wananchi tunafurahi tu.

Lissu acha chuki kwa rais wetu wa wanyonge

Chadema wamechanganyikiwa...kampeni za zamani walibebwa sana na machinga na mama ntilie . Sasa wanawaza mwaka huu mtaji wa machinga na mama ntilie umeamia kwa magu
Unafikiri waliotunga hiyo sheria hayo walikuwa hawayajui

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni jogoo linalowika nje ya Uzio haliwanyimi usingizi wenye nyumba.
Nawatakia Maji mitililika kwa sabuni, kujikinga na KORONA. Usinywe sanitaiza itakudhuru mwili na kukuvuruga kichwa. Nawe wacha kuwavuruga wenzio.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom