Tundu Lissu, ni aibu jamani

Tundu Lissu, ni aibu jamani

Hii ni thread ya hovyo kabisa kwa zama hizi.

"...wakishindwa kupata uhalali kwa hoja watajihalalisha kwa udini, kwa ukanda, kwa mavazi..."
J.K.Nyerere

Nashangaa Paw kaiacha iendelee kushusha hadhi ya JF.
 
Last edited by a moderator:
Heshima ya Mbunge ni Hoja

Unataka awe smart kwa suti za kuhongwa na wawekezaji kama ilivyotokea kwa mkuu wa nchi kama ilivyoripotiwa na Wikileaks?

Aliishia kuuza nchi kwa gharama ya suti.Ana tofauti gani na chifu Mangungo aliyeuza ardhi kwa Carl Peters na yeye kupewa Shanga?Afadhali Mangungo anaweza kujitetea kuwa hakua na formal education na exposure ya kutosha.Lakini Rais wa nchi wa karne hii!Gimme a break ! ! !

Anyways,Sijui Mangula na Bahama yake na Swagger za raba za Bazouk Chini alipohudhuria pale Ikulu unamuweka wapi kwa fikra zako hizi.?

Tatizo lako kubwa ni kutetea hata uozo. Soma kijana, nakuwekea link upate darsa dogo kuhusu mavazi:

What Your Clothes Might Be Saying About You | Psychology Today
 
Suti aliyovaa tindu lissu iko sawa,dada yetu ukae ukijua suti zote zinazovaliwa sio lazima nibane kwendana na mwili.hujawai kuona suti ndefu karibia inafika magotini,badilika wewe mdada
 
Nashangaa Paw kaiacha iendelee kushusha hadhi ya JF.

Nyinyi mnaoshindwa kuelewa umuhimu wa mavazi kwa viongozi ndio Paw anawashangaa kwa kushadidia huu uzi usiwepo.

Mnachokiogopa nini? jadilini na wabunge hawa wanaovaa hovyo hovyo wakipitia hapa ni lazima watajirekebisha.

Kwanini mbunge aende na koti lililomzidi kimo bungeni? ni saikolojia ya kutaka ukubwa asio nao au nini? tujadili.
 
Last edited by a moderator:
Suti aliyovaa tindu lissu iko sawa,dada yetu ukae ukijua suti zote zinazovaliwa sio lazima nibane kwendana na mwili.hujawai kuona suti ndefu karibia inafika magotini,badilika wewe mdada

Suti limezidi kimo, limezidi mikono, unataka kusema nini na nimemuona live? kama ni fashion hazijaanza leo, kama ni trend, kwa sasa hakuna trend ya kuvaa mikoti mikubwa kuliko kimo, nimeona hilo kwa Slaa na Lissu tu.

Ni kutokuwa na muono wa mavazi? au u mwanjomwanjo? au dharau? au ni ulimbukeni? au ni nini haswa?
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

alivaa kama huyu wa pili kutoka kulia?
D92A8214+(1).jpg

nazani cha msingi hoja na wala siyo mavazi matapeli wengi siku hizi ndo wanaongoza kwa kuwa smati
 
Last edited by a moderator:
Mkuu unanidai bia tatu na mchemsho wa sato..

Ahsante mkuu hapa kwenyewe ndii nashusha castle lager ya motoooo... ndio nikakutana na huu upuuzi. Nilichofanya ni kumpa.fact
 
FaizaFoxy you are smarter than this, get matured.

Yaani nilikuwa namuhusudu huyu dada kwa hoja ila nadhani kuna mtu huwa abatumia ID ya Faiza Foz, Faiza Fox niliyemjua hakuwa hamnazo kiasi hicho cha kufikia hatua ya kutoa hoja kuhusu uzuri na thamani ya mavazi ya Wabunge, tena kwenye Jukwaa la Siasa!
 
Last edited by a moderator:
Magamba mkikosa hoja mnachekesha, koti limekuwa agenda?
 
angalia hoja usiangalie koti, mbona kina john komba wanavaa suti kali lakini hakuna kitu?

Hilo ndio tatizo lenu kubwa, kuna siku niliona Slaa kavaa "track suit" na njuti zimechakaa, wenzake wote wamevaa ma "track suit" na chini wamevaa viatu "sports shoes" nikaweka picha humu, watu wakabaki kuguna tu. Haiji.
 
Yaani nilikuwa namuhusudu huyu dada kwa hoja ila nadhani kuna mtu huwa abatumia ID ya Faiza Foz, Faiza Fox niliyemjua hakuwa hamnazo kiasi hicho cha kufikia hatua ya kutoa hoja kuhusu uzuri na thamani ya mavazi ya Wabunge, tena kwenye Jukwaa la Siasa!

Ulikuwa humjui, ndo uanze kumfahamu vizuri kuanzia leo.. mark my words.
 
Ha ha ha SIX MENO NDANI YA IKULU!unanikumbusha zile enzi za njumu za akina romario,bebeto ukivaa zile hata kama hujui kutuliza ball namba tisa yako, mbavu zangu kule!!!!

Umemsahau Abeid Pele!hahaaaaaaa
 
Back
Top Bottom