Tundu Lissu, ni aibu jamani

Tundu Lissu, ni aibu jamani

JK kapiga suti aliyoongwa wakati anauza nchi. TINDU ana depict mtanzania halisi. Leo hukupata hela ya kula sasa unalazimisha uzi ili book 7 iingie. Wewe katika mambo yoye lisu kafanyia taifa hili umeona suti ndo kosa lake?
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?
 
FaizaFoxy you are smarter than this, get matured.

Am sorry to disappoint you "muzee"; but you expect rationality from a perpetually and self proclaimed irrational person. Huyu mtu hum-judge mtu kwa dini yake. Tundu Lissu hata angevaa suit ambayo faizafox mwenyewe alimchagulia bwana wake yeye mwenyewe (faizafox) bado angeleta uzi kama huu huu! Na kikwete (au the likes of kina khalfan) wakitembea uchi atawasifia. Ana bifu na wakatoliki (and the funny thing is kwake yeye faizafox kila Julius au Ben ni mkatoliki).
 
Last edited by a moderator:
kipi bora, suti au data na point alizozingumza??
suti ndio itatusaidia kupata katiba bora tunayoitaka?
 
Faiza Foxy,mambo haya peleka facebook,and not the home of great thinkers.
Au hujui kuwa ni bora ularuke mavazi kuliko kularuka akili?
Hivi ukivaa suti halafu unauza ndugu zako kama kuku na ukavaa mkoti mkubwa na kupigana kwa masilahi ya ndugu zako nani ni janga hapa?,ushabiki mwingine hauna hata maana
 
Tundu Lissu ameoa, sasa wewe unapokuja na posts zenye mlengo wa kumtamani tunashindwa kukuelewa, lakini kama ni kweli nguo haijamkaa vizuri inabidi ajirekebishe sababu wananchi wa kike kama nyie vitu vidogo vidogo kama hivyo huwa mnavikuza sana sababu ya mapenzi tu.
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

Lete hoja ya msingi...
 
Last edited by a moderator:
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

Unataka akuchumbie faiza Foxy acha kuwa mmbea Tundu Lisu yuko nadhifu...
 
Last edited by a moderator:
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

Hana suti za kuhongwa kama zile za Kikwete
 
Last edited by a moderator:
Ryan hats mleta hii uwezo wake in Mdogo sana kiakili
 
Hivi mbunge kama huyu maarufu, huo mkoti aliovaa kaazima? (hii ni sasa hivi (live) kutoka bungeni.

Dah, inapaswa ofisi za bunge sasa waweke askari wa mavazi pale mlangoni, anaevaa kijinga jinga kama alivyovaa Tundu asiruhusiwe kuingia mjengoni.

Hivi huyu kashindwa kujifunza kwa Rais wake. JDr. Jakaya Khalfan Mrisho Kikwete au kutoka kwa Mbowe ambae ingawa ni mbumbumbu lakini at least kuvaa anajuwa akiamua. Au kutoka kwa Zitto Kabwe.

Huyu itakuwa "mentor" wake wa mavazi ni Dr.W.Slaa kwani niliona picha zake alizotundika humu JF alipokuwa USA, alivaa mkoti mkubwa kama aliouvaa leo Tundu.

Au ndio ntungulie za mtumbani hizo?

Sina hakika na shule yako uliosoma, kama unahudhuria darasani au ulikuwa mtoro wa shule. Na kama ulikuwa unahudhuria ulikuwa unaelewa ulichokuwa unafundishwa? Na kama uli-pass, uli-pass kihalali au ulidesa?
Inabidi nijiulize maswali mengi juu ya ufikiri wako wewe na magamba wenzako wengi.
I don't real understand u guys! Magamba.
Badilini mtizamo wenu juu Taifa hili!
Acheni ushabiki usio na faida kwa WaTZ!
 
Ungeanza na makamu wenu Mangula aliyekwenda mahali "patakatifu" yani ikulu na six meno za kuchezea Beach ball.Tundu Lissu ni sumu kwa magamba.
Ha ha ha SIX MENO NDANI YA IKULU!unanikumbusha zile enzi za njumu za akina romario,bebeto ukivaa zile hata kama hujui kutuliza ball namba tisa yako, mbavu zangu kule!!!!
 
Umemshindwa kwa hoja sasa wamwendea kwa mavazi? ama kweli vichwa vya kuazima vina kazi nchi hii.
 
Back
Top Bottom