Uchaguzi 2020 Tundu Lissu na Salamu za Krismas: Mwaka 2020 ulikuwa mwaka mgumu na wenye machungu mengi kwa nchi na wananchi wetu

Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.
Ni mawazo tu.
 
Lissu ni mwanasheria, ila inaonekana hajui maana ya "power". Atapata tabu sana na mwisho kama si yeye kizazi chake kitaomba poo.
 
Mdomo wake umejaa matusi, hana maadali ya kikristo huyo labda kama ametubu. Amemdhalilisha sana Rais wetu, hana tofauti na Lucifer aliyewaaminisha malaika kuwa angepindua utawala wa Mungu.
Hivyo wenye maana ni waliojaribu kuutoa uhai wake.
 
Ndio nalimuona akiwashangaa watu Kama nyie mlio na macho na hamuona Wala masikio na hamsikii.

Nami nakuuliza, Ulimuona Wapi masihi akisherekea au kuweka kumbukizi ya kuzaliwa kwake kwa kipindi chote Cha zaidi ya miaka 30 alizoishi dunian?
Acha kumbwelambwela jibu swali!
 
ujinga na upagani
Haya maneno yalikuwa ni SILAHA waliyotumia wakoloni ili kutudidimiza na kutuingizia sumu ya dini zao.

Kiuhalisia mababu zetu walikuwa na dini zao zilizoheshimika na hawakuwa wajinga kama walivyoitwa.
Soma historia ya mababu zetu utajua zaidi.
 
Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.

Uanaharakati ni kutokuwa kondoo kwa serikali, lakini ukikubali ukondoo kwa serikali ww ni mwanasiasa!
 
Tangu lini 'mshitaki wa watu wa Mungu' (shetani) akawa mcha Mungu na kuwatakia watu kheri ya Krismas? Makubwa haya!
Aliwadanganya Adam na Eva kwa kujifanya ni malaika wa nuru, kumbe hakuna lolote.
Mwambie tumeshituka, hatudanganyiki na salamu za kizandiki.
Hata Yesu Mwana wa Mungu alikataliwa na wahuni na akahukumiwa kiharamu kifo cha aibu na fedheha msalabani lakini mwisho ushindi ulikuwa wake baada ya kufufuka siku ya tatu na kuwaacha adui zake midomo wazi na wakikiri Umungu wake hadharani.

Wewe ni mfano wa hao maharamia wa wakati wa Yesu!!?

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Huyu ni shetani au Ndugu yake shetani..
Mnafiki mkubwa huyu....unaiombea nchi mabaya halafu unajidai unatoa salaam eti kwa Watanzania wote...Binafsi Sina haja na salaam zake...yaani wanaCCM huwa anawaita MaCCM kwa kejeli na chuki halafu eti anawatakia Christmas's njema...
Huyo Tundu Mungu alishamtapika... mwacheni ahangaike
We lavu Joni wetu, Joni is humble, Joni is our chosen one
 
Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.
Akili sijui ulipeleka wapi we mzee! Au uliugua maradhi yaliyoleta hitlafu kwenye ubongo wako? Huyu sio Kichuguu wa JF tunayemjua mwenye reasoning ya juu sana!
 
Back
Top Bottom