Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,244
- 4,776
Watanzania hawapo tayari kwa mabadiliko!
Nitawaingiza Watu barabarani!
Alisikika mlevi mmoja
Nitawaingiza Watu barabarani!
Alisikika mlevi mmoja
mkuu ni vema ukapokea salamu za sikukuu kwanza basi .Nyie makanda uchwara na huyo mbelgiji wenu wote kwisha habari yenu.
Chuki za kuboya,asituletee azipekeke kwa wenye chuki wenzie.Mbona hivyo mrembo, punguza kudakia mambo yalio nje ya uwezo wako.. Sawa bibie.. Ni ushauri tu.
Bila shaka unatokea mtaa wa chuki kama ilivyo kwa wenye kutoka mtaani hapo.Watanzania hawapo tayari kwa mabadiliko!
Nitawaingiza Watu barabarani!
Alisikika mlevi mmoja
Ni mawazo tu.Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.
Hivyo wenye maana ni waliojaribu kuutoa uhai wake.Mdomo wake umejaa matusi, hana maadali ya kikristo huyo labda kama ametubu. Amemdhalilisha sana Rais wetu, hana tofauti na Lucifer aliyewaaminisha malaika kuwa angepindua utawala wa Mungu.
Ana bwana? Tupunguze ukali wa maneno kwa kuwa Mungu ametupatia wote akili ya kupambanuaAshachuja huyu, atulie na bwana wake Amsterdam, zile ongea zake za kejeli na dharua zimekufa kifo cha asili pia.
Shetani hawezi kuwatakia watu wa Mungu kheri ya Krismas. Ujumbe ndio huo
Acha kumbwelambwela jibu swali!Ndio nalimuona akiwashangaa watu Kama nyie mlio na macho na hamuona Wala masikio na hamsikii.
Nami nakuuliza, Ulimuona Wapi masihi akisherekea au kuweka kumbukizi ya kuzaliwa kwake kwa kipindi chote Cha zaidi ya miaka 30 alizoishi dunian?
Haya maneno yalikuwa ni SILAHA waliyotumia wakoloni ili kutudidimiza na kutuingizia sumu ya dini zao.ujinga na upagani
Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.
Hata Yesu Mwana wa Mungu alikataliwa na wahuni na akahukumiwa kiharamu kifo cha aibu na fedheha msalabani lakini mwisho ushindi ulikuwa wake baada ya kufufuka siku ya tatu na kuwaacha adui zake midomo wazi na wakikiri Umungu wake hadharani.Tangu lini 'mshitaki wa watu wa Mungu' (shetani) akawa mcha Mungu na kuwatakia watu kheri ya Krismas? Makubwa haya!
Aliwadanganya Adam na Eva kwa kujifanya ni malaika wa nuru, kumbe hakuna lolote.
Mwambie tumeshituka, hatudanganyiki na salamu za kizandiki.
Huyo Tundu Mungu alishamtapika... mwacheni ahangaikeHuyu ni shetani au Ndugu yake shetani..
Mnafiki mkubwa huyu....unaiombea nchi mabaya halafu unajidai unatoa salaam eti kwa Watanzania wote...Binafsi Sina haja na salaam zake...yaani wanaCCM huwa anawaita MaCCM kwa kejeli na chuki halafu eti anawatakia Christmas's njema...
Hivi unajua heshima ya mtu wenu huko nje na anavyo kejeliwa?Nyie makanda uchwara na huyo mbelgiji wenu wote kwisha habari yenu.
Akili sijui ulipeleka wapi we mzee! Au uliugua maradhi yaliyoleta hitlafu kwenye ubongo wako? Huyu sio Kichuguu wa JF tunayemjua mwenye reasoning ya juu sana!Lissu alikosea sana kudhani kuwa uanaharaki ndiyo uongozi wa kisiasa. Uanaharakati una nafasi yake na uongozi wa kisiasa pia una nafasi yake. Nadhani kosa kubwa ni kwa wale waliomshambulia kwa vile walisababaisha aendelee kuwa relevant wakati tayari alikuwa ana fade out.
Kimasawa.. mwambie tumepokea salamu.. ila atusalimie kwa French siku ingine.. hajajifunza ya nchi yake mupya? au tutachangishana ajifunze..
Wakati nchi yetu ilikuwa ikisifiwa huko nje na mabeberu huku ndani walikua wakitufilisi. Kwa Sasa tunashuhudia jinsi tulivyokua tunasifiwa na Mabeberu kumbe ndio mwanya walikua wakiutumia kutunyonya.Hivi unajua heshima ya mtu wenu huko nje na anavyo kejeliwa? View attachment 1658753