Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 34,456
- 55,195
🤔🤔🤔🤔🤔
Hata wapumbavu huzeeka,wewe ni Mzee mpumbavuUnafanya makosa makubwa sana kudhani kila aliyeko humu ni kijana- mie siyo kijana
NA SIJAONA HOJA YOYOTE ULIYOTOA ZAIDI YA KUSHAMBULIA NAFSINakuheshimu lakini sidhani unajua hilo. Una assumptions nyingi katika jambo hili ndio maana nimesema wewe haiwezekani ukawa mtaalamu. Ukiwa ni lawyer, ni bush lawyer tu!! Moja ya assumptions - kuwa amlete dereva ili ahojiwe. Una chochote kinachoonesha anamzuia dereva asitoe maelezo?? Lakini dereva huyo atoe maelezo wapi? kwako au Polisi? Na ndio niliposema je kuna jalada la uchunguzi liko wazi?? Nikamalizia kwa jambo unalokwepa kuzungumzia - Lissu huyu hapa. Kamata na fungua jalada ili maswali yako pamoja na mengine yajibiwe.
Kama ilivo ada, mnapokuwa challenged huwa mnakimbilia "tuheshimiane". Vumilia tu!! Umeleta mada hii hapa - acha ijadiliwe. Swala la kuheshimiwa utaliinjoy vizuri katika mazingira unayodhibiti. Hata humdhibiti mtu na bila kukukosea heshima, utapambana na hoja. Acha vitisho!!
Kwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao
Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu
MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake ?
2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo? Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.
3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Mwovu ni yule mungu wenu aliyeko motoni sasa hiviMATUSI NI KINGA YA UOVU-KHERI MIE MZEE MPUMBAVU KULIKO WEWE KIJANA MUOVU NA MZUSHI; UKIFIKA UMRI WANGU UTAKUWA HUNA NAFASI NYINGINE ISIPOKUWA UCHAWI
Ulihusika kwenye tukio au? Maana inaonekana una pingana na maelezo ya alie pigwa.Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao
Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu
MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake ?
2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo? Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.
3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
hebu msikilize unless awe anaumwa psychological trauma
Kama kamungu mtu kako kalikopo jehanum sio!!???Wala siko huko- kwa alivyoeleza ni sahihi hajapigwa risasi atakuwa aliletwa hapo na dreva wake akiwa majeruhi tayari. Hebu fikiria unachema ulisoma chuo na kuhitimu mwaka fulani ila huwezi kumtaja hata mwanafunzi mmoja uliyesoma naye- maana yake hujawahi soma chuo hicho unachosema
Yaani iwe "inside job" halafu serikali itupiwe lawama,tena kiongozi mkubwa kabisa ndiye anatupiwa lawama,halafu serikali hiyo ikae kimya bila kujisafisha kwa kufanya uchunguzi na kudhihirisha kuwa CDM walihusika!!???Kwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!
- CHADEMA mabingwa wa mapichapicha, walijitahidi kuhakikisha picha za tukio hilonhazisambai kinyume na utamaduni wao!
- Risasi kutoboa upande moja wa gari na yeye kuumizwa upande mwingine. Risasi zitoboe kushoto na muathirika aumie mguu wa kulia!
- Dereva aliyeko kulia risasi isimpate hata moja!
- Zipigwe risasi 38 na atoke kama alivyotoka!
- Dereva kuingia mitini na mpkumficha kwa nguvu zote!
Kwa hiyo we ni binti?Unafanya makosa makubwa sana kudhani kila aliyeko humu ni kijana- mie siyo kijana
DuhKwa wanaoijua CHADEMA inawezekana kabisa ni inside job!
- CHADEMA mabingwa wa mapichapicha, walijitahidi kuhakikisha picha za tukio hilonhazisambai kinyume na utamaduni wao!
- Risasi kutoboa upande moja wa gari na yeye kuumizwa upande mwingine. Risasi zitoboe kushoto na muathirika aumie mguu wa kulia!
- Dereva aliyeko kulia risasi isimpate hata moja!
- Zipigwe risasi 38 na atoke kama alivyotoka!
- Dereva kuingia mitini na mpkumficha kwa nguvu zote!
Mkuu, Lisu ni muongo hakupigwa risasi hata moja.Maelezo ya Lissu alipohojiwa na CLOUDS
Nafasi za parking zimechukuliwa imebaki moja kwa sababu niko mbele nikaingia kwenye hiyo parking. Wakaingia upande wa kushoto wanatafuta eneo la kupaki kuna magari, kulia kuna magari wakageuza gari kuelekea walipotokea dereva akaniambia nisishuke, wakasubiri na wao
Mmoja akatoka siti ya nyuma akaamia mbele upande wa abiria wakazungumza akarudi ndani akafunga mlango ghafla akafungua yeye, akafungua mwingine wanamashine hapo wakaachia" - Lissu
MASWALI
1. Je risasi zilipigwa kutoka nyuma yake ?
2. Mbona gari lake lilionekana kuwa risasi zilikuwazimepigwa ubavuni. Kama niko sahihi hii iliwezekana vipi wakati hakukuwa na nafasi ya wao kuegesha gari hapo? Maana yake ni kuwa nafasi kati ya gari na gari kwenye maegesho isIngeweza kumfanya mpigaji atumie bunduki kwa usahihi mpaka asogee karibu sana na hii ingemfanya amtambue aliyemshambulia.
3. Kwa nini dreva wake kama mtu aliyekuwa kwenye tukio anamzuia asitoe maelezo yake?
Hopeless kabisa!Maadamu yupo na aliona atueleze vizuri huu mchezo wenu wa kuchafua watu
Yale yale- kuzushia watu maneno- si aseme ukweli ili muwe huru mnaogopa nini?Hopeless kabisa!
Kama wewe ulikuwa mmoja wa hao wauaji au msaidizi wa huo uovu, usipime upepo. Kuna siku msiyoijua wote mtasimama mbele ya vyombo huru vya kisheria, kujibia uovu wenu.
Maelezo ya kina yalikwishatolewa, na yapo katika kumbukumbu. Mtoa amri anafahamike. Yeye hukumu yake ipo mbinguni. Bashite aliyesimamia operation akiwa Dodoma Hotel, yupo. Kisanduku, mfyatuaji wa risasi amefungwa kule Mtwara kwa uovu mwingine. Msjmamizi mkuu wa kikosi, Nyaulingo alikwishakufa kwa ajali ya gari alipokuwa akitokea Bagamoyo. Lakini bado wapo wengine waliohusika, na wapo mitaani, huenda qewe ni miongoni.