Tundu Lissu: CHADEMA haijahodhi mchakato wa Katiba bali inaongoza mapambano, anayetaka ajiunge nayo

Sasa hii kuipigania katiba mpya ni kitu gani kama si kuwakomboa Watanzania kutoka Serikali ya makaburu wa maccm!? 😳😳😳


 
Haya ndo madhara ya mama kucheka na nyani,na bado mama asipokaza watamzingua mpaka atachutama.
Mimi bado sielewi... kwani shida ya kudai katiba mpya ni nini?

Katiba ni jambo la kisiasa na kisheria.

Kisiasa, CCM wajibu mapigo; na wenyewe waanzishe makongamano yao ya kusema kwanini tuendelee na katiba iliyopo
Kisheria, Mama Samia halazimishwi kuanzisha mchakato, yeye akae kimya, hata wakipiga kelele vipi, hakuna wa kumshikisha kalamu aanzishe.

Shida iko wapi? Mbona kila kitu CCM inataka itumie dola? Wako wapi kina Malecela na Kingunge wa wakati huu?
 
Acha kutukana watu. Watanzania wanataka katiba yao. Waryoba alikusanya maoni ya Watanzania. Wewe unawaita nyani. Nyani ni mamako basi. Nchi hii ni ya Watanzania. Siyo ya CCM, Samia na polisi.
Haya ndo madhara ya mama kucheka na nyani,na bado mama asipokaza watamzingua mpaka atachutama.
 
mnalalamika mmeporwa uchaguzi baadala ya kuingia barabarani mkaandamana kwenye keyboard na mgombea wenu mmeshindwa kumlinda kakimbia nchi anaishi uhamisho
Wewe hujui chochote kuhusu mapambano. Swala la kwanza muhimu kwenye vita ni kuwa hai. Au hujawahi kusikia "tactical retreat", mtu ashapigwa risasi zote zile unataka abaki hapa nchini ili afe halafu nani atapata faida. Kuishi uhamishoni kwa mwanaharakati ni jambo la kawaida kabisa, walifanya kina Mandela, Samora, OR Tambo etc
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…