Glenn
JF-Expert Member
- May 23, 2015
- 65,488
- 156,116
Umemaliza, mkumbushe pia wakati wa kampeni TL alivyomvhana yule mtuWakati wa vita vya Kagera kama ulikuwepo sikuwahi kumuona Nyerere kashika bunduki au akiendesha kifaru front.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umemaliza, mkumbushe pia wakati wa kampeni TL alivyomvhana yule mtuWakati wa vita vya Kagera kama ulikuwepo sikuwahi kumuona Nyerere kashika bunduki au akiendesha kifaru front.
Kama huo ndio usaliti basi kumbe hakuna tofauti kati yao na CDM.... CDM ina wanachama na wafuasi wengi wameumizwa, kutekwa, kupotea na wengine kufa wakikipigania chama , vipi kuna hatua gani mmechukua kutafuta haki zao zaidi ya baadhi yenu kuunga juhudi mkono na kuelekea CCM na wengine mnawaita Covid 19 wako bungeni na mmeshindwa kuchukua hatua zozote kitaifa na kimataifa....mmelalamika TL kapigwa risasi nyio ambao sio wasaliti mmechukua hatua gani mpaka sasa? mnalalamika mmeporwa uchaguzi baadala ya kuingia barabarani mkaandamana kwenye keyboard na mgombea wenu mmeshindwa kumlinda kakimbia nchi anaishi uhamisho.....Maalima Seif amepata misukosuko kuliko mwanasiasa yeyote hapa TZ lakini hakuwahi kuishi uhamishoni...... Usaliti ni pamoja na kushindwa kukilinda na kukisimamia unachokiamini + uoga....
Mimi bado sielewi... kwani shida ya kudai katiba mpya ni nini?Haya ndo madhara ya mama kucheka na nyani,na bado mama asipokaza watamzingua mpaka atachutama.
Hamfuati mtu yeyote bali analazimika kufuata aina ya uongozi utakaomletea tija yeye binafsi kama kiongozi na taifa analoliongoza. NNimesema akitaka amfuate mwendazake who cares.
Haya ndo madhara ya mama kucheka na nyani,na bado mama asipokaza watamzingua mpaka atachutama.
Wewe hujui chochote kuhusu mapambano. Swala la kwanza muhimu kwenye vita ni kuwa hai. Au hujawahi kusikia "tactical retreat", mtu ashapigwa risasi zote zile unataka abaki hapa nchini ili afe halafu nani atapata faida. Kuishi uhamishoni kwa mwanaharakati ni jambo la kawaida kabisa, walifanya kina Mandela, Samora, OR Tambo etcmnalalamika mmeporwa uchaguzi baadala ya kuingia barabarani mkaandamana kwenye keyboard na mgombea wenu mmeshindwa kumlinda kakimbia nchi anaishi uhamisho