Una ushahidi kuwa ilikuwepo CCTV? Na Kama unao una ushahidi kuwa ilikuwa ni nzima na inafanya kazi? Hiyo CCTV
CCTV haikuwa Mali ya serikali na una ushahidi kuwa ilikuwa na uwezo was kuona umbali gani? Hiyo CCTV ilikuwa ya mtu binafsi au ya serikali? Kama ilikuwa ya mtu binafsi je kazi ya CCTV ya mtu binafsi no kulinda nyumba za majirani au ya mhusika tu? Kisheria no halali kuikomalia CCTV ya mtu mwingine kwenye tukio lililotokea kwako? Ukifwekwa mapanga usiku nje ya nyumba yangu utazokomalia CCTV zangu na kunikomalia kuwa lazima niwe shahidi wako mahakamani? Je CCTV za mtu binafsi Hana haki ya kuzitoa akitaka wakati wpwote Kuna wa kumpangia azifunge au azitoe lini? Hizo CCTV zilikuwa za Lisu? Na kazi Yale ilikuwa kumlinda Lisu Kama zilikuwepo? Anayesema kulikuwa na CCTV ni Lisu Kama zolikuwa nzima au la hakuna ajuaye ila Lisu ndie anakomaa sijui ni injinia wa CCTV kijua zilikuwepo na zilikuwa nzima na Zina uwezo wa kuona alikokuwa!!!!!!!