Lord denning
JF-Expert Member
- Jun 3, 2015
- 13,226
- 26,048
Kulikuwa na statements zisizo na maonyo zenuw kueleza hatua za kuchukuliwa. Sasa kuna statement yenye onyo inayoelezea hatua zitakazochukuliwaHata kwa COVID-19 kulikuwa na statements nyingi but hazizikusaidia kitu. Mtaumiza sana nafsi zenu but NOTHING will change msimao wa Tz. Wa Tz wahawajawahi kushadidia USHOGA wala Mabebeeu, na inapokuja issue ya USALITI wa Tz hawajawahi kugawanyika. Endeleani kusubiri Meli Airport..