Mpekuzi Tanzania
JF-Expert Member
- Mar 11, 2018
- 590
- 911
Leo kwenye Ibada ya Miaka 60 ya Uinjilishaji wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) sijamuona muumini safi Bwana Freeman Aikaeli MBOWE, Rafiki wa kufa na kuzikana na Dkt Shoo. Je amelitosa kanisani la KKKT na kuungana na Kanisa Takatifu Katoliki la Mitume?