Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Magufuli katili mno hafai kpewa kuraHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Magufuli katili mno hafai kpewa kuraHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Killers at workHakuna kura za huruma
Hata aende akasali kwa Vatican
Tutamhurumia kwa kutunguliwa risasi, ila kura tunampigia Rais Magufuli kipenzi cha Watanzania
Ha ha haaaZile picha za Magufuli kanisani hupigwa kwa kutumia makalio yako!
Endelea kujishebedua hapo lumumbaNa utapanic sana hadi oktoba 28 lazima hizo pichu uvae kichwani
Leo hajapokea ekarist, maana hatuoni ktk hizo picha?
Kausapoti wapi??We ndio kawaulize ila siwezi kuchagua mtu anayesapoti ushoga
Kwahiyo asisali, asitembelee wagonjwa, asiende sokoni kujitafutia mahitaji, asipande mwendokasi. Kama mimi ningekata tiketi moja asubuhi nazunguka na mwendokasi kutwa nzima. Yaani ni Morocco to Kimara, Kimara to Feri. Feri to Fire. Fire to Gerezani.Gerezani to Kimara au Morocco. Hadi jioni nakuwa nimekutana na mamilioni ya watu. Sasa huyo kawahurumia kaenda kanisani!Huyu TAL amefungiwa kufanya kampeni lakini hii ni kampeni " fulani " hivi!
Kweli kabisa ,kwani Jiwe akisari anatafta kura? Bora mimba itolewe ya mtu Kama huyo kijana.Ombi - Utoaji mimba uruhusiwe ili kuwanusuru wazazi na aibu kama wanayoipata wazazi wa kijana huyu mbumbumbu
Ijumaa aende msikitiniKKKT hakuna ekarist,usidandie train 🚊 mbele utaumia
Lisu akafie mbali jpm tenaaWewe ndiye hunan huruma laki Wewe tu ndiye huna huruma, lakini wenzako tunamhurumia na tutampa kura zetu.
Ninakuambia hivi mzee alikua anacheza na maisha yetu na msije shangilia jambo kama.hili, yaan kama ugonjwa huu ungelipiga kama ulaya na us watanzania tungekwisha sasa hii ni hatari kwa rais wa nchi kuamini katika super stations.Kama Magu ni kweli ameondowa Corona, basi atuondolee Ukimwi na Marelia, yaonekana huyu ana umungu mmoja pamoja na Baba ambaye vitu vyote vimeumbwa naye.
Acha kulialia wewe, pambana na hali yakoModerator unaedit sana uzi huu , kama uwepo wa uzi huu unavunja sheria za jf tutaridhika tu kama utauondoa kabisa , huyu bado ni Mgombea Urais , kaa ukilifahamu hilo