Tundu Lissu ana hoja. Haya makaa ya mawe yanayosafirishwa maelfu ya Tani Kila siku kwenda nje ni utajiri ambao ungetunufaisha hapa Nchini

Tundu Lissu ana hoja. Haya makaa ya mawe yanayosafirishwa maelfu ya Tani Kila siku kwenda nje ni utajiri ambao ungetunufaisha hapa Nchini

Sir John Deere

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
14,162
Reaction score
27,197
Nimemsikiliza hotuba yake akiwa mbambabay kabla hajakamatwa akiwaeleza Wananchi hao kuwa makaa ya mawe yanayosafirishwa kwa maelfu ya tani Kila siku kwenda bandarini kupelekwa China , India na ulaya ni utajiri ambao ungetumika hapa hapa nchi hii ingeendelea sana kwa upande wa viwanda na kukuza uchumi wa nchi.

Amewaeleza Wananchi hao kwamba msingi wa viwanda vya chuma ni makaa ya mawe ambayo Mungu ameibariki nchi hii hivi sasa yanauzwa nje kwa Kasi ya ajabu.

Chuma tunayo liganga na mchuchuma lakini serikali umeshindwa kuwekeza katika kuchimba chuma umeamua kuuza makaa ya mawe.

Hii kiukweli imenigusa sana Kuna wakati namkumbuka marehemu Magufuli huu upuuzi wa kuuza mali za nchi hii bila kutumia akili vizazi vijavyo watakuja kutulaumu sana.

Serikali wacheni kuuza makaa ya mawe nje ya nchi yatumike kuyeyusha chuma hapa hapa tuuze na kutengeneza msingi wa viwanda vya chuma .nchi hii ni tajiri sana.

Free Tundu Lissu Now.
 
Nimemsikiliza hotuba yake akiwa mbambabay kabla hajakamatwa akiwaeleza Wananchi hao kuwa makaa ya mawe yanayosafirishwa kwa maelfu ya tani Kila siku kwenda bandarini kupelekwa China , India na ulaya ni utajiri ambao ungetumika hapa hapa nchi hii ingeendelea sana kwa upande wa viwanda na kukuza uchumi wa nchi.

Amewaeleza Wananchi hao kwamba msingi wa viwanda vya chuma ni makaa ya mawe ambayo Mungu ameibariki nchi hii hivi sasa yanauzwa nje kwa Kasi ya ajabu.

Chuma tunayo liganga na mchuchuma lakini serikali umeshindwa kuwekeza katika kuchimba chuma umeamua kuuza makaa ya mawe.

Hii kiukweli imenigusa sana Kuna wakati namkumbuka marehemu Magufuli huu upuuzi wa kuuza mali za nchi hii bila kutumia akili vizazi vijavyo watakuja kutulaumu sana.

Serikali wacheni kuuza makaa ya mawe nje ya nchi yatumike kuyeyusha chuma hapa hapa tuuze na kutengeneza msingi wa viwanda vya chuma .nchi hii ni tajiri sana.

Free Tundu Lissu Now.
Ukweli umeshasemwa.
 
Nimemsikiliza hotuba yake akiwa mbambabay kabla hajakamatwa akiwaeleza Wananchi hao kuwa makaa ya mawe yanayosafirishwa kwa maelfu ya tani Kila siku kwenda bandarini kupelekwa China , India na ulaya ni utajiri ambao ungetumika hapa hapa nchi hii ingeendelea sana kwa upande wa viwanda na kukuza uchumi wa nchi.
Hii imefanana sana na ile issue ya Makinikia iliyosababisha apigwe Risasi kama mvua.
 
Nimemsikiliza hotuba yake akiwa mbambabay kabla hajakamatwa akiwaeleza Wananchi hao kuwa makaa ya mawe yanayosafirishwa kwa maelfu ya tani Kila siku kwenda bandarini kupelekwa China , India na ulaya ni utajiri ambao ungetumika hapa hapa nchi hii ingeendelea sana kwa upande wa viwanda na kukuza uchumi wa nchi.

Amewaeleza Wananchi hao kwamba msingi wa viwanda vya chuma ni makaa ya mawe ambayo Mungu ameibariki nchi hii hivi sasa yanauzwa nje kwa Kasi ya ajabu.

Chuma tunayo liganga na mchuchuma lakini serikali umeshindwa kuwekeza katika kuchimba chuma umeamua kuuza makaa ya mawe.

Hii kiukweli imenigusa sana Kuna wakati namkumbuka marehemu Magufuli huu upuuzi wa kuuza mali za nchi hii bila kutumia akili vizazi vijavyo watakuja kutulaumu sana.

Serikali wacheni kuuza makaa ya mawe nje ya nchi yatumike kuyeyusha chuma hapa hapa tuuze na kutengeneza msingi wa viwanda vya chuma .nchi hii ni tajiri sana.

Free Tundu Lissu Now.
Viongozi wa dini wakiingilia kati na kuiandikia WARAKA serikali watu sisi tunakuja na udini oh kwasababu Rais ni Muislamu. Lakini mali inauzwa. Nchi inafilisiwa na wenzetu wachache.
 
Nimemsikiliza hotuba yake akiwa mbambabay kabla hajakamatwa akiwaeleza Wananchi hao kuwa makaa ya mawe yanayosafirishwa kwa maelfu ya tani Kila siku kwenda bandarini kupelekwa China , India na ulaya ni utajiri ambao ungetumika hapa hapa nchi hii ingeendelea sana kwa upande wa viwanda na kukuza uchumi wa nchi.

Amewaeleza Wananchi hao kwamba msingi wa viwanda vya chuma ni makaa ya mawe ambayo Mungu ameibariki nchi hii hivi sasa yanauzwa nje kwa Kasi ya ajabu.

Chuma tunayo liganga na mchuchuma lakini serikali umeshindwa kuwekeza katika kuchimba chuma umeamua kuuza makaa ya mawe.

Hii kiukweli imenigusa sana Kuna wakati namkumbuka marehemu Magufuli huu upuuzi wa kuuza mali za nchi hii bila kutumia akili vizazi vijavyo watakuja kutulaumu sana.

Serikali wacheni kuuza makaa ya mawe nje ya nchi yatumike kuyeyusha chuma hapa hapa tuuze na kutengeneza msingi wa viwanda vya chuma .nchi hii ni tajiri sana.

Free Tundu Lissu Now.
MamaSamia2025 ana mwisho mbaya sana. Mwisho wa siku Tundu Lissu ataibuka shujaa wa taifa hili, kama ambavyo ilitokea kwa NELSON MANDELA
 
Viongozi wa dini wakiingilia kati na kuiandikia WARAKA serikali watu sisi tunakuja na udini oh kwasababu Rais ni Muislamu. Lakini mali inauzwa. Nchi inafilisiwa na wenzetu wachache.
Anaekuja na hoja ya udini kwenye mali za nchi zinazouzwa nje Hana akili timamu.
 
Laiti ungejua bei tunayouza hayo makaa sasa hivi ungekua umerest in peace
 
Broo nashauri hizi data ungeanza kuzitoa kesho Jumatatu, unajua gafla mapigo ya moyo yameanza kubadilisha uelekeo.
 
Broo nashauri hizi data ungeanza kuzitoa kesho Jumatatu, unajua gafla mapigo ya moyo yameanza kubadilisha uelekeo.
Sio mimi mkuu ni hapa hapa jamii forums tu hapo chini ndio zipo hizi mada... scroll down mpaka mwisho utaona haya mambo waliyajadili zamani...
 
Sio mimi mkuu ni hapa hapa jamii forums tu hapo chini ndio zipo hizi mada... scroll down mpaka mwisho utaona haya mambo waliyajadili zamani...
Naogopa kuscrol mpaka chini maana muda wa lunch unakaribia nisije nikaleft na njaa yangu, nikishiba nitascrol
 
Tani moja wanauza kiasi gani kwani?, Nahisi itakuwa pesa mbovu hata hivyo au tunauza pesa nzuri?
 
Back
Top Bottom