Mwanaume kukaa duniani hudindishi ni bora ufe tu.. Unakuwa huoni tofauti ya wanawake na wanaume. Pesa za nini kama Jogoo haliwiki!??Kweli nyinyi siasa za ushabiki zimewatoa akili . Na mfumo huu wa upinzani wa vyama vingi, kwa nchi yenye level ndogo namna hii ya uelewa , haufai .
Kwa hiyo marehemu yeye amefaidika nini ?!. Ikiwa anaozea ft 6 chini ardhini. Mamlaka na ulinzi wote ule. Where is he now ?!. Tutendeane kwa uema na haki. Kama yeye alifurahia kumlemaza mwenzie. Fimbo ya MNYONGE imelipwa na Mungu.
Odhis *