Tundu Lissu amzushia kifo mlinzi huyu wa Rais Magufuli?

Kweli nyinyi siasa za ushabiki zimewatoa akili . Na mfumo huu wa upinzani wa vyama vingi, kwa nchi yenye level ndogo namna hii ya uelewa , haufai .

Kwa hiyo marehemu yeye amefaidika nini ?!. Ikiwa anaozea ft 6 chini ardhini. Mamlaka na ulinzi wote ule. Where is he now ?!. Tutendeane kwa uema na haki. Kama yeye alifurahia kumlemaza mwenzie. Fimbo ya MNYONGE imelipwa na Mungu.

Odhis *
Mwanaume kukaa duniani hudindishi ni bora ufe tu.. Unakuwa huoni tofauti ya wanawake na wanaume. Pesa za nini kama Jogoo haliwiki!??
 
Hata kama hajataja jina. Maelezo aliyoyatoa yanaelekeza kwa huyo jamaa.

Lissu ni mropokaji mno.
We una tatizo kumbe.yaani una lazimisha ijulikane Ni huyo unayemtaja wewe ndiyo kafa. Fatilia mlinzi aliyekufa na kuzikwa kilosa morogoro ni yupi. Una Akili halisi ya kiafrika ya unafiki na usingiziaji.ndiye nyinyi mkiwa viongozi kesi za kumbambikiza lazima zizidi
 
Lisu jana ameonesha upumbavu wa hali ya juu kwenye straight talk...ametumia hasira na hisia za chuki kuelezea uhalisia. Nimefurahi Chaka Sali alivyomhoji na kumtaka amuelezee Mwendazake akiwa kama Mtanzania na kutoka katika kina cha moyo wake .....nilistuka sana vumbi alilolirusha.
 
Mwanaume kukaa duniani hudindishi ni bora ufe tu.. Unakuwa huoni tofauti ya wanawake na wanaume. Pesa za nini kama Jogoo haliwiki!??
Wapo wengi sana dunia wa namna hiyo. Wengine kwa kuzaliwa, ajali na hata wa kulazimishwa kama hii mnayoshabikia. Hii haimfanyi marehemu kuwa shujaa . Yuko wapi ?! Mbona hasimami kufurahia hatua zake ?!

U dictator na u communist popote duniani haiwezi kuitoa nchi mrisi . Na mara nyingi ma dictator humalizia hovyo. Ona mama ameanza kubomoa aliofikiri ni sahihi .

Odhis *
 
Wewe ndiyo acha lopolopo, unaelewa kinachoongelewa hapa? Jikite kwenye mada, ni Mlinzi yupi wa Rais aliyekufa kwa Covid-19? Ndiyo maana darasani mnafail mitihani kirahisi, unaulizwa swali jingine, unatwist majibu kufit kile unachojua wewe kichwani kwako. Narudia tena jikite kwenye Mada husika, kama huwezi, usiquote Comment yangu.
Eti nisi quote comment yako, ina madini ya aina gani? Napata kitu gani niki quote na ninakosa kitu gani nisipo i quote? BTW, unajipa mamlaka ya ku quote comment yangu bila masharti, halafu unaniwekea masharti mimi ku quote ya kwako? Uko sawa kweli upstair? Tumewaambia hivi JPM alikuwa na walinzi wengi, muulizeni TL anazungumzia mlinzi gani aliyekufa. Swali gani bado unalo?
 
Nami nimeyatazama mahojiano ya Tundu Lissu na Shaka Ssali kwenye kipindi cha Straight Talk Africa kirushwacho na runinga ya Voice of America.

Bw. Lissu kaongea mambo mengi. Na kama kawaida yake kila apatapo wasaa au fursa ya kufanya hivyo, kwenye mahojiano haya na Shaka, katema nyongo yake dhidi ya Rais Magufuli.

Ila kilicho kamata uangalifu wangu ni madai yake yeye Lissu kuwa eti yule aliyekuwa mlinzi wa Rais Magufuli, naye kafa kwa C-19!

Naamini alikuwa anamzungumzia huyu jamaa. Jamaa ambaye ali stand out kati ya waliokuwa walinzi wa marehemu.

View attachment 1739998

Hii picha hapa chini ni baada ya Magufuli kufariki. Hapa walikuwa kanisani [nadhani ni pale kwa Mtakatifu Petro].
View attachment 1739999
Huyu jamaa mpaka kule Chato nilimuona [kama sijakosea].

Sasa, endapo ni kweli amekufa [iwapo Lissu alimaanisha ni huyu], basi jamaa atakuwa amekufa baada ya tarehe 26, Machi 2021.

Lissu kasema “his security officer...the guy that you see...the dark guy that you see behind him all the time...is dead”

Lakini kwa nini tuandikie mate wakati wino upo? Msikilize mwenyewe ili usiseme labda namzushia au napotosha alichokisema.

Video ya mahojiano ni ndefu. Kwa kuokoa muda, anzia dakika ya 21:10 mpaka 21:36.



Tundu Lissu amechanganyikiwa? Ni nani aliyemwambia kuwa huyo jamaa [kama ndo yeye anayemzungumzia] kafa? Na amekufa lini?

Tuliokuwa tunafuatilia msiba wa Magufuli kwenye runinga tulimuona jamaa. Picha zake nyingi tu za wakati wa msiba zipo mtandaoni na hata humu JF zipo!

How can Tundu Lissu say this so confidently?

Where does he get his information from?

I don’t know about you guys but this is slander.

If I were the guy [don’t know his name], I’d be lawyering up right now, even though Lissu didn’t specifically mention his name, but in my view, the description he gave is sufficient enough to know who he was talking about.

I don’t know much about Tanzanian laws with regards to defamation and slander, but if I were the guy, I’d shoot my shot and sue the hell out of him.

Calumniating people’s deaths is not cool.
Rais alikuwa na walinzi wengi na wengi ni wasiojulikana. Acha kutupotosha kuhusu TL
 
Lisu jana ameonesha upumbavu wa hali ya juu kwenye straight talk...ametumia hasira na hisia za chuki kuelezea uhalisia. Nimefurahi Chaka Sali alivyomhoji na kumtaka amuelezee Mwendazake akiwa kama Mtanzania na kutoka katika kina cha moyo wake .....nilistuka sana vumbi alilolirusha.
Ulitaka amsifie mtu aliyetaka kumuuwa kwa risasi na kumpa ulemavu? Marehemu Kama angemtendea mema Lisu na Lisu angemsema vibaya hapo tungeona Lisu anatatizo tena kubwa tu. Siyo wewe mtu akutetendee mema na mwingine ubaya alafu ukataka aliyetendewa ubaya asifiye Kama wewe uliyetendewa mema hakuna Upumbavu wa namna hiyo.
 
Mnajitoa ufahamu? Kuwa hamjui kuwa Magufuli alifariki kwa covid-19? Endeleeni kujitoa ufahamu tu.

Kaulizwa Lisu akiwa kama mwanasheria anaweza prove kashindwa itakuwa wewe hapa! Nyie ndiyo mnajitoa ufahamu kama huna ushahidi kaa kimya,siyo kutuletea blah blah blah za “my sources”
 
Kaulizwa una ushahidi? Anaanza kuleta Stori sijui katoka huku kapelekwa huku mara kule. Una ushahidi oh circumstances hizi blah blah...as a lawyer!

Ilibidi Shaka Ssali amsikilize tu,alishaona hapa hakuna kitu. Kwamba una ushahidi akaanza blah blah za “my sources”, nani atamwamini kumpa siri mtu anaonekana mropokaji. Ukisoma comments kule youtube kwa Straight Talk Africa utaona watu wanavyompopoa kwenye comments. Nina uhakika na yeye anapitia hizo comments na anajiona alivyodharaulika baada ya Interview.
 
Kaulizwa Lisu akiwa kama mwanasheria anaweza prove kashindwa itakuwa wewe hapa! Nyie ndiyo mnajitoa ufahamu kama huna ushahidi kaa kimya,siyo kutuletea blah blah blah za “my sources”
Kwani Corona ni aibu ?!. Corona si kabambaru

Odhis *
 
Kaulizwa Lisu akiwa kama mwanasheria anaweza prove kashindwa itakuwa wewe hapa! Nyie ndiyo mnajitoa ufahamu kama huna ushahidi kaa kimya,siyo kutuletea blah blah blah za “my sources”
Kaondoka na covid -19. Mfuate kama unaona uchungu ukweli kusemwa! Hili ni muhimu sana kusemwa ili watu wajifunze kutokana na makosa. Kuna mambo mengine hayaitaji kiburi wala ujeuri. Tunaposema kafa kwa covid siyo kama tunafurahia bali tunaonyesha ujweuri ulivyo na gharama mbaya.
 
Shaka Ssali kauliza swali dogo tu,”ukiwa kama Mwanasheria unaweza kuprove Rais alikufa kwa ugonjwa wa Corona” Majibu yake sasa looh,nimeambulia kusikia blah blah blah tu za “my source in Nairobi,my sources in....hadi Mzee Shaka akatikisa kichwa tu
Ndo graduates wa UD akili zao zilivyo,kwani wewe hujagundua tu🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom