Mnondwe
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 4,013
- 3,672
Haiwezi kuwa video ya siri wakati yupo kwenye umma,upungufu wa akili huu ndiyo unasababisha nchi yetu inapigwa sana na wajanja.
Hapo ndiyo mkutanoni,na anaomba asaidiwe kitu ambacho KIJANI imeshafanya sana kwa magabacholi,na kila kwenye harakati za ukombozi,kuomba ndiyo njia ya kwenda mbele.
Hapo ndiyo mkutanoni,na anaomba asaidiwe kitu ambacho KIJANI imeshafanya sana kwa magabacholi,na kila kwenye harakati za ukombozi,kuomba ndiyo njia ya kwenda mbele.