buyegiboseba
JF-Expert Member
- Jun 3, 2011
- 535
- 145
Utaunganaje na CUF wakati tayari yeye kaungana na CCM? namashukuru Mtatairo aliyekiri wazi propaganda zimewaangusha sana CUF,ushauri kama CUF inataka kuwa Chama ni lazima iepuka kutumia BAKWATA.Prof Lipumba mwenyewe kaona uzushi kaenda zake kupiga research,coz aliona Igunga hana lake.
Haiwezekani kuwa CCM wawe wao ndio wenye kutangaza matokeo. Wao wamechukua wadhifa wa kwa kujifanya ni NEC. Hakuna "transaprency" katika kura hizi.
CUF hawaiamini CDM kwa sabau zinazojulikana. Lau CUF na CDM walishikamana, CCM wasingeambua kitu.
iGUNGA IMETUSOMESHA MENGI. kAMA TUNATAKA KUIBWAGA ccm 2015, LAZIMA UPINZANI USHIKAMANE VINGINEVYO, ccm WATASHINDA KWA MIAKA MIA INAYOKUJA.