Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Hivi CCM imefanya kipi cha kuendeleza nchi kama chama kilichopo madarakani? Nchi iko gizani huku ikiendelea kufilisiwa na wajanja waliomo ndani ya nchi na wa kutoka nje ya nchi, unaweza kuorodhesha machache yaliyofanywa na CCM katika kuiendeleza Tanzania?
mimi nafikiri yaliyopo ni yale yakuibomoa kama
1. Udini na ukabila walioanzisha chini chini
2. Uingiaji wa mikataba feki unaoigarimu nchi kama dowans na richimondi
3. Kukumbatia weze wa rasilimali zetu
na mengineyo mengi