uberimae fidei
JF-Expert Member
- Dec 16, 2016
- 2,406
- 3,594
- Thread starter
- #101
Mazao yanayofaa kulima mengi ssana.tikiti.mbaazi.ufuta.kunde.embe za kisasa.mihogo na mahindiHuko Kibiti kunafaa kilimo cha mazao gani?
Mazao yanayofaa kulima mengi ssana.tikiti.mbaazi.ufuta.kunde.embe za kisasa.mihogo na mahindiHuko Kibiti kunafaa kilimo cha mazao gani?
Bei usiogope mkuu maelewano yapo.linafaa.kwa mahindi.embe za kisasa.mbaazi.tikiti maji.kunde n.kNavutiwa nalo ila bei na hali ya Uchumi wa sasa.
Na linafaa kwanini mkuu?
Nyaya tikiti, hoho, Mbaazi, mihogo kunde mahidi, koroshoNavutiwa nalo ila bei na hali ya Uchumi wa sasa.
Na linafaa kwanini mkuu?
Ekari 12 zina mbaazi ambazo zimevunwa Mara moja tukuna shamba langu la heka 20, naliuza lina kisima kirefu 75miters, heka 3 zina drip, deasel engine na outonater, nyumba ya wafanyakazi pamoja na vijana wawili wapo shamba, kila kitu kipo tayari kuanza kulima hata kesho. nauza 30million tu. Lipo 5km from kibiti secondary gari ndogo inafika mpaka Shamba, pia kuna majirani kutoka dar na wanaendelea na projects. Mazungunzo yapo
Kwa muitaji tuwasiliane pm
Ni Shamba tu halijapimwa mkuuhilo eneo limepimwa?
Ni Shamba tu halijapimwa mkuu
Kuna maswala binafsi Mkuu.si unajua vyuma vinavyokaza tenaMkuu mbona umefanya uekezaji mkubwa na mzuri inakuaje unauza tena??
Kuna maswala binafsi Mkuu.si unajua vyuma vinavyokaza tenaMkuu mbona umefanya uekezaji mkubwa na mzuri inakuaje unauza tena??
Apana ilo halina tatizo lolote unakua huru kufutulia popote kupata taarifa za Eneo husika.hakuna.ubabaishaji.unakagua Eneo kwanza na unajiridhisha kila idara.utaqnzaje kulipa bila kujua Eneo husika kwa kina Mkuu?Maana kuna watu uuza maeneo baada ya kuona eneo ilo lipo katika hifadhi za serikali kama barabara kubwa, baada ya kuziona ramani za mipango miji
Apana Mkuu.umeme haujafika na haupo mbali sana
Hahah Mteja ataelewana nao.vijana wapiga kazi haswaaNa hao vijana unawauza?
Liko vizuri sana.apo ata ukiamua kuchimba mabwawa ya Samaki una chimba .
Hili Shamba lako zuri mkuu nadhani tukutane tuongee
Lote Mkuu.maana apo ukisema ukate.kila mtu atataka kwenye kisima aweze kunufaika na maji.ngoja tuangalie namna kama itafaa kufanya hivyo nitakujulishaje unaweza kuuza kwa hekari chache yaani heka 5 hivi au unauza lote kwa bei hiyo maana hiyo bei ghali sana mkuu ungekuwa unakataka heka