Kinoamiguu
JF-Expert Member
- Nov 29, 2018
- 10,521
- 12,988
Habari za majukumu wadau,
Kuna kongamano linaendelea huko Zanzibar, Mgeni rasmi ni Dr. Husein Ally Mwinyi. Kongamano hilo ni kuazimisha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika lakini linafanyika Zanzibar maswali ni mengi. Mada mbalimbali zimetolewa na wana kongamano.
Ujumbe wa kongamano hilo ni " TUNAIFUNGUA NCHI YETU KIUCHUMI" Swali.
Nani huyo alifunga nchi kiuchumi, yupo wapi na kwann aliamua kuifunga nchi kiuchumi?
Wakati nchi inafungwa hawa kina mwinyi walikuwa wapi na dadake SSH?
Hapa tunabadilishiwa chupa tu mvinyo ni uleule.
Kuna kongamano linaendelea huko Zanzibar, Mgeni rasmi ni Dr. Husein Ally Mwinyi. Kongamano hilo ni kuazimisha miaka 60 ya uhuru wa Tanganyika lakini linafanyika Zanzibar maswali ni mengi. Mada mbalimbali zimetolewa na wana kongamano.
Ujumbe wa kongamano hilo ni " TUNAIFUNGUA NCHI YETU KIUCHUMI" Swali.
Nani huyo alifunga nchi kiuchumi, yupo wapi na kwann aliamua kuifunga nchi kiuchumi?
Wakati nchi inafungwa hawa kina mwinyi walikuwa wapi na dadake SSH?
Hapa tunabadilishiwa chupa tu mvinyo ni uleule.